Home Search Countries Albums

Mapema

MATATA

Mapema Lyrics


Me najuwa ati we unanijuwa
Ka ni trust si unajuwa niko sure 
Kemoda jamaa moja mature 
Nakulike wallahi na ninajuwa una juwa 

Mapema mapema very fast 
Mapema mapema very fast 
Mapema mapema very fast 
Mapema mapema very fast 
  
Mapema modo me ndo kemoda joh 
Ziiii bazu me ndo bazenga yoh
Unajuwa hii mtaa me ndo kusema joh 
Wacha ma chocha una cha chisha yoh

Me ni mchristian ka Ronaldo sichezi vi messy 
Kama governor obando huruki hii kesi 
Na Unaruka kipetero ki yesu 
Ehhhh Na kataa hii story ka nakata na kisu

Juu mi hupenda ma goshodo
Na blend konyagi na kavodo 
Kemoda Kenanire kimundu
Zina nice kama devo wa gatundu Ahh 

Ka mi ni samson ye ni Delilah 
Mmhhh amekunasa kama raila
Jicho nyanya zimeriet macho ka muchina  
Akona kina maina na ma dame wafaina
Mapema mapema very fast

Me najuwa ati we unanijuwa
Ka ni trust si unajuwa niko sure 
Kemoda jamaa moja mature 
Nakulike wallahi na ninajuwa una juwa 

Mapema mapema very fast 
Mapema mapema very fast 
Mapema mapema very fast 
Mapema mapema very fast 

Mapema ninataka kukemba nimeshindwa kusema 
Anipate nyuma ya hema broo 
Na jaba, nimeshindwa kutema, toto Kana tetema
Cheki vyenye na hema broo 

Na tena, ye ni bibi ya onjivo 
na unajua sailors walipita na yeye bro
Mapenzi  na enzi kishenzi 
Si chezi kitenzi malezi hauwezi broo

Na mechi ni messy, na passi kwa messi
Kijana mwepesi na bali ndio kesi 
Mapema very fast 
Hii movie ye ndio cast
Me doggy ye ndio cat
She tryna get it but 
Mapema mapema very fast

Me najuwa ati we unanijuwa
Ka ni trust si unajuwa niko sure 
Kemoda jamaa moja mature 
Nakulike wallahi na ninajuwa una juwa 

Mapema mapema very fast 
Mapema mapema very fast 
Mapema mapema very fast 
Mapema mapema very fast

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mapema (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MATATA

Kenya

Matata is a group of dancers/artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE