Home Search Countries Albums

Kila Mtu

SUSUMILA

Kila Mtu Lyrics


Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe

Karibu Kenya, nchi ya kitu kidogo
Karibu Kenya, nchi ya wapenda hongo
Nchi ya wezi, wafujaji wa pesa
Nchi ya mtu wetu, nchi ya ukabila

Nchi ya wasojali, shamba la wanyama
Looters wanaloot hawajali hata wamama
Kwenye maternity wanakufa wamama
Pesa za umma kirahisi zinazama

Wabunge, waizi
Ma MCA, waizi
Ma Senetor, waizi
Ma Governor, waizi

Kila mtu ni mwizi sikuhizi
Na hao wezi, tumewachagua sisi wezi
Anyway, sisi ndio wale wezi
Mafisadi, sote corrupt wezi
Hatupigi kura, mpaka kitu
Hatujali utu, utu wa mtu kitu aah

Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe

Tulipanda tunavuna don't complain
Miaka mingi tangu uhuru, still in vain
Watoto wanalia, tumbo pain
Wacha tuvumilie, no pain no gain

2022 wataback again
Na kura watataka tutawapa again
Wembe ni ule ule, mara tano tena
Na sura zile zile, naona zikirudi tena aah

Mapastor, waizi
Mashehe, waizi
Waganga, waizi
Wasanii, waizi

Kila mtu ni mwizi sikuhizi
Na hao wezi, tumewachagua sisi wezi
Anyway, sisi ndio wale wezi
Mafisadi, sote corrupt wezi
Hatupigi kura, mpaka kitu
Hatujali utu, utu wa mtu kitu aah

Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe
Na kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Kila Mtu (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SUSUMILA

Kenya

YUSUF KOMBO a.k.a SUSUMILA was born on 30th april 1983 started music in1999 he started entertaining ...

YOU MAY ALSO LIKE