Home Search Countries Albums

Mbuzi

MANENGO

Mbuzi Lyrics


Wananiita mr Mwanza, Mwanza
Buyu mpaka Nganza
Niko katikati ya Msodoki
Na kuu banda

Mmenichosha makabuku
Maajabu leo mnaomba jero kwa panya buku
Taarifa kwa father wa new generation
Father Nelly leo nawatag, na wa-mention

Sioni rappers kuni-compare 
Nami sijasema kwa ubaya
Nawatuliza gamba alafu nawauliza
Zaku kaya

Wananiita mi mjuzi sijui ni kipi nimekosa
Mchezaji ambaye namfundisha hadi Papi Kocha
Kwenye mdundo ukisimama na mimi utageuka kioja
Mwisho wa siku utachekesha utaomba po na powder

Hapa siongei na rappers 
Naongea na wafanya covers
Pamela na Kipini makusuka
Nyie dadas mtajua kua hamjui 
Nikinywa pombe wanawaka 
Ila cha ajabu huwa siungui
Ambia wenzako mzee nimekurupuka 
Na hili chupa la mchana paka athmani machupa

Manengo hatajwi ila mitaa ndo inamtaja
Na ukimbana sana atatoka ni haja
Maana washasema watopoli dunia ina mambo
Na ukinywa bia za kigwendu dada bambo

Wanangu nimepata beiby, manze, Manzese 
Mtoto wa baba alafu mama Khadija Kopa, wacha nicheke
Ananiambia, nimchum nimkiss mwaah
So kwenye majengo - nae then home, Kibaa

Kunicompare mimi na watoto sitaki
Mnategemea ofisi ya kata na haikati
Sare hampati, mkimind mkashtaki
Serikali kuu ya fake rappers mawaki
Mzuzu cap, mbeleko na hamtembei
Mtakuja kupata taabu siku kanga zikipanda bei

Maana nisha warm up kurap mpaka nikaota vigimbi
So endeleeni kukoroga sukari bahari ya Hindi
Na hapa sihitaji crown na umedari kwenye shingo
Na leo nakata miti alafu naotesha mitindo

Ondoa hizo taka taka Migos wannabe
Malengo niko A kwa hiyo zima izubii

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mbuzi


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MANENGO

Tanzania

Manengo is a bongo flavour artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE