Sawa Lyrics

Eeee! Kwani mapenzi niyawawili
Usijeniacha solemba
Tena uzitunze hizo zangu Siri
Usijeniacha n'kateleza
Baby, Tia pilipili nyanya kachumbali, tuanze lumangia
Mwenzio akili hoi n'shasafiri inasonga njia
Manuari ishazama (Aaawe)
Kwandani Swalama (Nawee)
Navile tunagandana (Aawee)
Tunafanana (Nawee)
Napenda ukin'susia Hooh aah Sana
Shimoni naingia Ooh aah tamu Sana
Hata nisemwe,ning'ong'we hadharani na watu (Sawa sawa sawa)
Kwako tulituli ndo n'shatulia (sawa sawa sawa)
N'takung'ang'ania,n'takushikilia (sawa sawa sawa)
Na ukitaka Mali, nitakupatia (Sawa sawa sawa)
Ona akili yangu Mwenzako Haisomi,
Subakheri N'shakweka Moyoni
Unanipatiaga,Viudambu-udambu
Unaniwezeaga
Naukijifukizaga Aah Alkhabi
Unanimalizaga!
Baby, Tia pilipili nyanya kachumbali, tuanze lumangia
Mwenzio akili hoi n'shasafiri inasonga njia
Manuari ishazama (Aaawe)
Kwandani Swalama (Nawee)
Navile tunagandana (Aawee)
Tunafanana (Nawee)
Napenda ukin'susia Hooh aah Sana
Shimoni naingia Ooh aah tamu Sana
Hata nisemwe,ning'ong'we hadharani na watu (Sawa sawa sawa)
Kwako tulituli ndo n'shatulia (sawa sawa sawa)
N'takung'ang'ania,n'takushikilia (sawa sawa sawa)
Na ukitaka Mali,Nitakupatia (Sawa sawa sawa)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Lights on Me (EP)
Copyright : (c) 2021 Legacy Records.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
LOUI
Tanzania
Loui is a Tanzanian Singer | Song writer | Entertainer & a rising pop star signed under Leg ...
YOU MAY ALSO LIKE