Home Search Countries Albums

Ayeye Lyrics


Usivunjike moyo haya majina tu yanapita
Kuna life after fame
Huna haja ya kuniacha
Tuianze safari nitakula kiapo
Cha utiifu na ukweli(Ayeye, eeeh)

Natamani niwe nawe, milele
Natamani mbingu na ardhi 
Ziwe shaidi wangu mie
Sio kwamba nakuomba ndoa 
Kwa sababu umri wangu unakwenda
Nimeshakwepa mishale mingi
Ndio maana wazi nasema nakupenda(Ayeye)

Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema
Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema

Hello, beautiful
It's you I've been looking for

Nikifaulu maisha 
Baby uwe nyuma yangu(Ayeye yee)
Kwenye misango ya mawazo
Nisiwe peke yangu(Ayeye yee)

Nisiwe jeshi la mtu mmoja
Nikishiba nisahau Mwenyeza(Ayeye yee)
Maisha ni ya mafupi
Twende wakati wetu tukawe sabakina (Ah ah ah)
Kuja niwe na mfetu
Uwe na mfetu(Ah ah ah) Uwe na mfetu

Natamani niwe nawe, milele
Natamani mbingu na ardhi 
Ziwe shaidi wangu mie
Sio kwamba nakuomba ndoa 
Kwa sababu umri wangu unakwenda
Nimeshakwepa mishale mingi
Ndio maana wazi nasema nakupenda(Ayeye)

Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema
Nimemeeshwa, nimeoteshwa
Kuna kesho nasali kuniombea mema

Hello, beautiful
It's you I've been looking for

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Ayeye (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

LINEX SUNDAY MJEDA

Tanzania

Linex Sunday Mjeda is a bongo flavour artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE