Home Search Countries Albums

Kidonda Changu

HARMONIZE

Kidonda Changu Lyrics


Mazuu On The Beat!
Uh uuh
Uh uuh
Mmh!

Yale maneno matamu nikafikiri nyota njema
Mara asubuhi, asubuhi moyoni
Kumbe miale ya sumu ulikusudia kunichoma
Angali sijui, sijui kisa niii

Nimeamini penzi, penzi zigo la miba
Lishanichoma na kunipofua moyo (moyo moyo)
Bila ye siwezi mwenzenu napata shida
Amani sina kinauma kidonda changu

Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Kidonda changu
Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Yarabi moyo wangu

Yale mahaba ninyonge ntayamiss saana si unajua
Umenifanya nikonde shilingi sina ningenunua
Umenipora hata tonge angali shibe sina utaniua
Ningekunywaga na pombe, ila kichwa sina ningezimia

Nimeamini penzi, penzi zigo la miba
Lishanichoma na kunipofua moyo (moyo moyo)
Bila ye siwezi mwenzenu napata shida
Amani sina ninaugulia kidonda changu

Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Jamani kidonda changu
Kitachelewa (uuh uh)
Kupona kitachelewa chelewaa
Sema kitachelewa sweetie
Yarabi moyo wangu

Mmh!
Na tena sipati usingizi (ai moyo, ai moyoo)
Ati kula mi siwezi (ai moyo, ai moyoo)
Tena nusu niwe chizi (ai moyo, ai moyoo)
Yote kisa mapenzi (ai moyo, ai moyoo)

Mazuuuuu (Record!)
Maximizer
Harmonize baby!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2015


Album : Kidonda Changu (Single)


Copyright : ©2015


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

HARMONIZE

Tanzania

Harmonize, born Rajab Abdul Kahali on 3 October 1991 in Mtwara, Tanzania, is a Tanzanian singer ...

YOU MAY ALSO LIKE