Home Search Countries Albums

Chibaba

ALIKIBA

Read en Translation

Chibaba Lyrics


Yeah

Ooh right

Aaah aaah aah aah aah aah

Yeah mama

Mwenye sura ya makokoto

Kumpata ni protocol

Kame jawa na madeko

Aaah kanamadoko

Kwa kuringa kanaringa

Kana mambo ya kitoto toto

Mwinzenu mi ndio napenda

Ugonjwa wangu mi napenda

Kakicheka mi nalia

Jamaa kananivutia

Mali yangu ikijaliwa

Mi nitachanganyikiwa

Kakicheka minalia

Minalia kananivutia

Mali wangu ikijaliwa

Mi nitachanganyikiwa

Aaaah

Oooh nana nanaaa

Bi mzuri huyu

Nampenda huyu huyu

Oooh nana nanaaa

Mali yake roho safi ooh oh

Oooh nana nanaaa

Bi mzuri huyu

Nampenda huyu huyu

Oooh nana nanaaa

Mali yake roho safi ooh oh

Roho safi ooh

Chibaba chibaba

Mmmhh

Akanza nita chibaba

Chibaba ooh chibaba

Name namwita chimama

Chimama wa mboga saba

Wamoto shape jicho mpaka shingo

Yani dah mashallah

Sitaki tena kua single

Kakicheka mi nalia

Jamaa kananivutia

Mali yangu ikijaliwa

Mi nitachanganyikiwa

Kakicheka minalia

Minalia kananivutia

Mali wangu ikijaliwa

Mi nitachanganyikiwa

Aaaah

Oooh nana nanaaa

Bi mzuri huyu

Nampenda huyu huyu

Oooh nana nanaaa

Mali yake roho safi ooh oh

Oooh nana nanaaa

Bi mzuri huyu

Nampenda huyu huyu

Oooh nana nanaaa

Mali yake roho safi ooh oh

Roho safi ooh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Copyright : ©2024 Kings Music Records.All Rights Reserved.


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

ALIKIBA

Tanzania

Ali Saleh Kiba, better known by his stage name AliKiba, is a Tanzanian recording artist, singer-song ...

YOU MAY ALSO LIKE