Chibaba Lyrics
Yeah
Ooh right
Aaah aaah aah aah aah aah
Yeah mama
Mwenye sura ya makokoto
Kumpata ni protocol
Kame jawa na madeko
Aaah kanamadoko
Kwa kuringa kanaringa
Kana mambo ya kitoto toto
Mwinzenu mi ndio napenda
Ugonjwa wangu mi napenda
Kakicheka mi nalia
Jamaa kananivutia
Mali yangu ikijaliwa
Mi nitachanganyikiwa
Kakicheka minalia
Minalia kananivutia
Mali wangu ikijaliwa
Mi nitachanganyikiwa
Aaaah
Oooh nana nanaaa
Bi mzuri huyu
Nampenda huyu huyu
Oooh nana nanaaa
Mali yake roho safi ooh oh
Oooh nana nanaaa
Bi mzuri huyu
Nampenda huyu huyu
Oooh nana nanaaa
Mali yake roho safi ooh oh
Roho safi ooh
Chibaba chibaba
Mmmhh
Akanza nita chibaba
Chibaba ooh chibaba
Name namwita chimama
Chimama wa mboga saba
Wamoto shape jicho mpaka shingo
Yani dah mashallah
Sitaki tena kua single
Kakicheka mi nalia
Jamaa kananivutia
Mali yangu ikijaliwa
Mi nitachanganyikiwa
Kakicheka minalia
Minalia kananivutia
Mali wangu ikijaliwa
Mi nitachanganyikiwa
Aaaah
Oooh nana nanaaa
Bi mzuri huyu
Nampenda huyu huyu
Oooh nana nanaaa
Mali yake roho safi ooh oh
Oooh nana nanaaa
Bi mzuri huyu
Nampenda huyu huyu
Oooh nana nanaaa
Mali yake roho safi ooh oh
Roho safi ooh
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2024
Album : (Single)
Copyright : ©2024 Kings Music Records.All Rights Reserved.
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
ALIKIBA
Tanzania
Ali Saleh Kiba, better known by his stage name AliKiba, is a Tanzanian recording artist, singer-song ...
YOU MAY ALSO LIKE