Home Search Countries Albums

Watangonja Sana

JOSE DRAMA Feat. ROSE MUHANDO

Watangonja Sana Lyrics


[INTRO]
Rose Muhando
Jose Kama ndrama kama Vindeo
Watangoja sana
Watangoja sana jamani(aiii)

[CHORUS]
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana
Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Hakuna wa kupinga aaah (aaah aah....)

[VERSE 1]
Cha Mungu ni cha Mungu
Cha Mungu ni cha Mungu
Akishusha neema utukufu unashuka
Akishusha neema ushindi unashuka
Akishusha neema mbingu zinafunguka
Akishusha neema viwete wanatembea
Akishusha neema utukufu unashuka
Hapo hapo twainuka kwa nguvu zake bwana
Wewe wewe we…weee
Wacha wacha  kushindana na mimi (aaaah)

[CHORUS]
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana
Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Hakuna wa kupinga aaah (aaah aah....)

[VERSE 2]
Shetani kajipange upya
Wenye choyo mjipange upya
Wenye wivu mjipange upya
Wenye choyo mjipange upya
Wenye fitina mjipange tena

Litapaa tu kama tai
Litang'ara sana kama nyota
Mmekaa chini ya mtini hakuna matunda
Mmekaa chini ya mtini mnangoja matunda
Mmekaa chini ya mtini uso zaa matunda
Nasema mtangoja sana
Jamani mtangoja sana
Kamama mtangoja sana
Mwishowe mtalaaniwa

Litapaa tu kama tai
Litang'ara sana kama nyota
Litapaa tu kama tai
Litang'ara sana kama nyota
Neema hadi neemaaa
Utukufu hadi utukufu
Neema hadi neemaaaa
Utukufu hadi utukufu
Nimebarikiwa

Kibali chake Mungu
Kibali chake Mungu
Kimo juu yangu
Kimo juu yangu

Nitangaze wema  wako
Nitangaze nguvu zako
Eeeh mama mama

Nimeandaliwa mazuri
Nimeandaliwa mazuri
Mungu aniwazia mema
Yesu  aniwazia mema

Nasema mjipange upya,hamtapata kitu
Nimebarikiwa nimebarikiwa
Nimebarikiwa nimetunukiwa
Nimebarikiwa nimetunukiwa

[CHORUS]
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana
Watangoja sana, watasubiri sana

Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Neema yangu ni yangu tuuuu
Baraka yangu ni yangu tu
Hakuna wa kupinga(aaah aah....)

[OUTRO]
Litapaa tu kama tai
Litang'ara sana kama nyota
Litapaa tu kama tai
Litang'ara sana kama nyota
Neema hadi neemaaa...
Utukufu hadi utukufu...
Neema hadi neemaaaa...
Utukufu hadi utukufu...
Nimebarikiwa.....

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : WATANGONJA SANA (Single)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JOSE DRAMA

Tanzania

...

YOU MAY ALSO LIKE