Home Search Countries Albums

Chelewa

KUSAH Feat. RUBY

Chelewa Lyrics


[VERSE 1]
Uuh umeni murder
Nimeishiwa na pozi mie
Nmekosa mada
Nabaki uh kutwa kukuwaza
Tamu usijegeuka shubiri
Moyo utaukwaza (aah eeh)
Wewe ndo jike langu la kopa
Mimi ndo dume lako la shupaza
Na uliko ni mbali njoo
Kabla kiza hakijatanda
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza

[CHORUS]
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa

[VERSE 2]
Jua linazama
Moyo wangu unapwetapweta
Jini kisirani amepata nafasi
Stress za mapenzi zanilemea
Najaribu jidanganya (jidanganya)
Kuku kwa foleni nakaribia
Mimi bila wewe kama bwege
Sina lolote
Ohh baby baby anita
Jaribu kwendaga na mida
Ukinipa vyote barida
Njoo nikudakishe na show
(oh baby)
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza
Ulimi kama nyoka mwendo wa kinyonga
Macho ya kudondoka eeh
Nyonga mkalia ini ndimi mkata shombo
Wewe dada umeniweza

[CHORUS]
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Mbona unachelewa
Chelewa, Chelewa
Mbona unachelewa

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Chelewa (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

KUSAH

Tanzania

Kusah is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE