Home Search Countries Albums

Pokea Sifa (Uhimidiwe)

KIDUM

Pokea Sifa (Uhimidiwe) Lyrics


Oh oh oh, ah ah ah
Oh oh oh, ah ah ah

Nimekuja hapa mbele zako bwana
Kukupee sifa
Ninajua kwamba niko mwenye dhambi
Naomba unisamehe

Utukufu wako hauna kifani
Huruma na upendo wako kwa walimwengu
Hulinganishwi na chochote 
Baba wetu

Unapea mvua, wabaya na wazuri
Na mwangaza wa jua kwa wabaya na wazuri
Hubagui baba

Baba Baba pokea sifa, uhimidiwe
Baba Baba pokea sifa, uabudiwe

Watu wengi duniani wamekata tamaa
Wanadhani wakija kwako utawafukuza
Wanasema wewe ni Mungu wa walio wema tu
Wanasema wewe ni Mungu wa matajiri tu
Wanasema wewe ni Mungu wa mataifa yenye nguvu
Lakini

Kumbe wamekosa mwenye kuwapa ukweli
Kumbe hawajui wewe ni mwenye huruma
Kumbe wamekosa mwenye kuwapa ukweli
Kumbe hawajui wewe ni mwenye huruma

Niko hapa kutoa ushuhuda 
Na kukupa sifa zako baba

Baba Baba pokea sifa, uhimidiwe
Baba Baba pokea sifa, uabudiwe
Baba Baba pokea sifa, uhimidiwe
Baba Baba pokea sifa, uabudiwe

Kumbe wamekosa mwenye kuwapa ukweli
Kumbe hawajui wewe ni mwenye huruma
Kumbe wamekosa mwenye kuwapa ukweli
Kumbe hawajui wewe ni mwenye huruma

Baba Baba pokea sifa, uhimidiwe
Baba Baba pokea sifa, uabudiwe
Baba Baba pokea sifa, uhimidiwe
Baba Baba pokea sifa, uabudiwe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Pokea Sifa (Uhimidiwe) (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KIDUM

Burundi

Kidum, whose real names are Jean-Pierre Nimbona, is an award winnning recording and performing artis ...

YOU MAY ALSO LIKE