Nipe Nguvu Lyrics

Baba baba baba baba baba
Bwana Mungu Baba
Eeeh eeeh eeeh
Ni siku nyingi
Nimekaa nikijiuliza
Mfano wako Baba
Na walimwengu
Wewe ni mwema
Baba wa huruma
Muumba wa mbingu na dunia
Mwanzo na mwisho
Sisi watoto
Nitakusifu
Nitakuabudu
Ndio sababu nasema asante
Nishike mkono, nisiangue
Nahitaji msaada, kutoka kwako
Nipe nguvu na uvumilivu baba
Mimi niwe wako (niwe wako)
Tazama kila pande ya dunia
Kuna viumbe za kila aina
Na kuna sisi kwa mfano wake
Mungu baba ni mwenye kutujali
Mungu baba ni mwenye ni kutupenda
Umelipa ngapi kwa uhai wako
Umefanya nini kwa kubarikiwa
Mungu ni mwema
Mwenye rehema
Mwenye rehema zote
Nishike mkono, nisiangue
Nahitaji msaada, kutoka kwako
Nipe nguvu na uvumilivu baba
Mimi niwe wako
Mimi niwe wako
Niwe wako Baba
Tuko mbele zako
Tukipiga magoti Baba
Tusamehe dhambi zetu
Tuko mbele zako
Tukiwa wanyenyekevu
Baba tupe amani
Tuko mbele zako
Tukipiga magoti Baba
Tusamehe dhambi zetu
Tuko mbele zako
Tukiwa wanyenyekevu
Baba tupe amani
Ndio sababu twacheza gitaa hiviii
Twacheza gitaa kwa sifa zako Baba
Kwa utukufu wako tukikutukuza
Eeeh eeeh
Nishike mkono, nisiangue
Nahitaji msaada, kutoka kwako
Nipe nguvu na uvumilivu baba
Mimi niwe wako
Nishike mkono nisiteleze Mungu baba
Mimi niwe wako
Mimi niwe wako
Mimi niwe wako
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2018
Album : Nipe Nguvu (Single)
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
KIDUM
Burundi
Kidum, whose real names are Jean-Pierre Nimbona, is an award winnning recording and performing artis ...
YOU MAY ALSO LIKE