Home Search Countries Albums

Nipe Nguvu

KIDUM

Nipe Nguvu Lyrics


Baba baba baba baba baba
Bwana Mungu Baba
Eeeh eeeh eeeh

Ni siku nyingi
Nimekaa nikijiuliza
Mfano wako Baba
Na walimwengu
Wewe ni mwema
Baba wa huruma
Muumba wa mbingu na dunia
Mwanzo na mwisho
Sisi watoto
Nitakusifu
Nitakuabudu
Ndio sababu nasema asante

Nishike mkono, nisiangue
Nahitaji msaada, kutoka kwako
Nipe nguvu na uvumilivu baba
Mimi niwe wako (niwe wako)

Tazama kila pande ya dunia
Kuna viumbe za kila aina
Na kuna sisi kwa mfano wake

Mungu baba ni mwenye kutujali
Mungu baba ni mwenye ni kutupenda
Umelipa ngapi kwa uhai wako
Umefanya nini kwa kubarikiwa

Mungu ni mwema
Mwenye rehema
Mwenye rehema zote

Nishike mkono, nisiangue
Nahitaji msaada, kutoka kwako
Nipe nguvu na uvumilivu baba
Mimi niwe wako
Mimi niwe wako
Niwe wako Baba

Tuko mbele zako
Tukipiga magoti Baba
Tusamehe dhambi zetu
Tuko mbele zako
Tukiwa wanyenyekevu
Baba tupe amani

Tuko mbele zako
Tukipiga magoti Baba
Tusamehe dhambi zetu
Tuko mbele zako
Tukiwa wanyenyekevu
Baba tupe amani

Ndio sababu twacheza gitaa hiviii

Twacheza gitaa kwa sifa zako Baba
Kwa utukufu wako tukikutukuza
Eeeh eeeh

Nishike mkono, nisiangue
Nahitaji msaada, kutoka kwako
Nipe nguvu na uvumilivu baba
Mimi niwe wako

Nishike mkono nisiteleze Mungu baba
Mimi niwe wako
Mimi niwe wako
Mimi niwe wako

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Nipe Nguvu (Single)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KIDUM

Burundi

Kidum, whose real names are Jean-Pierre Nimbona, is an award winnning recording and performing artis ...

YOU MAY ALSO LIKE