Home Search Countries Albums

Nakupenda

KIDUM

Nakupenda Lyrics


Umekuwa ukizusha
Ati kwamba mimi nakucheza 
Ati simu zangu nikipiga huchukuwi  
Nashindwa ni ni mbaya nimefanya 
Wenye nia mbaya 
Hakika hawataki kutupa amani 
Mambo yao nikubuni hali ya sitofahamu
Ili mwisho unichukiye 

Saa zingine mimi uhisi nishike mtu mashali 
Na nianze vita 
Bahati mzuli 
Mimi si aina mtu wa ugomwi 

My baby nime umbwa tu nikubembeleze 
Lli moyo wako unirudiye 
Ndiyo sababu nakupa aka kawimbo (nakupenda) 
Chote unataka minitatenda 

Nakupenda mpenzi wangu wacha wasi wasi 
Ndiyo sababu nakupa aka kawinbo (nakupenda) 
Chote unataka minitatenda 
Usiwe na wasi wasi mpenzi (nakupenda)
Mpenzi wangu wacha wasi wasi 

Inasikitisha sana 
Aya mambo yakutuchonganisha 
Yaani mtu mzima mwenye akili timamu 
Anaweza aje kuwa mdaku kiyasi hicho 
Nimepakwa tope kwakuwekelewa thambi zote 
Wengine utaka nisulubiwe msalabani wapenzi lako

Wachana nao 
Wamejawa na wivu kwa roho zao
Ma baby nimeumbwa tu nikufurahishe 
Mambo mengine yote ni upuuzi kwagu 
Hakikisho kutoka kwangu baby (nakupenda)
Chote unataka minitatenda
Siitaji bunge kuni tetea (nakupenda)
Wala bunge la seneti 
Mpenzi wangu wacha wasi wasi 
Siitaji bunge kuni tetea (nakupenda)
Chote unataka minitatenda
Take it for me, take it for me (nakupenda)
Mpenzi wangu wacha wasi wasi 
Siitaji bunge kuni tetea (nakupenda) Ohh ohh 

Hakikisho kutoka kwangu (kwangu)
Hili ni hakikisho 

Hasema hili ni hakikisho ooh (nakupenda)
Chote unataka minitatenda 
Chote unataka minitatenda Chote unataka minitatenda 
Take it for me, take it for me (nakupenda)
Chote unataka minitatenda
Nakupenda, nakupenda
Mpenzi wangu wacha wasi wasi 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Nakupenda (Single)


Copyright : ©2019


Added By : Olivier charly

SEE ALSO

AUTHOR

KIDUM

Burundi

Kidum, whose real names are Jean-Pierre Nimbona, is an award winnning recording and performing artis ...

YOU MAY ALSO LIKE