Waubani Lyrics

Ayaaaah
Manzabay Bombay
Tangaaa
Walisema hatuendani nani
Hawajui ya ndani
Ni ndio wake funny
Wakasema simuweki ndani
Wakala yamini, haiwezekani
Pendo pendo kanidilika
Kaliziba pengo nachekaaa
Natafutana namung’unya nala tunda na maganda
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana mpaka kucha
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana, hadi raha
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Wakatabiri tutaachana
Kwa mashairi kutusema
Taayuri hugeuka shonde
Wametaayari nafunika kombe
Macho nimechutuma sipepesi simuliki
Jicho lakutazama usilitie kijiti
Natafutana namung’unya hala tunda na maganda
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana mpaka kucha
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana, hadi raha
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Waubani (Single)
Copyright : ©2022 Manzabay.All Rights Reserved.
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
KASSIM MGANGA
Tanzania
Kassim Hemed Mganga is a musician from Tanzania. He started music in 2002 and release his first offi ...
YOU MAY ALSO LIKE