Home Search Countries Albums

Waubani Lyrics


Ayaaaah
Manzabay Bombay
Tangaaa

Walisema hatuendani nani
Hawajui ya ndani
Ni ndio wake funny
Wakasema simuweki ndani
Wakala yamini, haiwezekani
Pendo pendo kanidilika
Kaliziba pengo nachekaaa
Natafutana namung’unya nala tunda na maganda
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana mpaka kucha
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana, hadi raha

Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani

Wakatabiri tutaachana
Kwa mashairi kutusema
Taayuri hugeuka shonde
Wametaayari nafunika kombe
Macho nimechutuma sipepesi simuliki
Jicho  lakutazama usilitie kijiti
Natafutana namung’unya hala tunda na maganda
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana mpaka kucha
Tulivyo, kama mapacha
Twafanana, hadi raha

Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani
Waubani waubani waubani

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Waubani (Single)


Copyright : ©2022 Manzabay.All Rights Reserved.


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

KASSIM MGANGA

Tanzania

Kassim Hemed Mganga is a musician from Tanzania. He started music in 2002 and release his first offi ...

YOU MAY ALSO LIKE