Home Search Countries Albums

Honey

RAYVANNY Feat. RAY C

Honey Lyrics


Honey love sweetheart teamo
My love, my baby, my everything
Ananiamsha kwa mabusu mabusu
Mama ananipa massage ya mwili kwa chuchu

Nyama ananipa biriani upaja wa kuku
Jamaa mbuzi kaja zizini simba na Zuchu
Na wanune wanune wanune
Na iwaume wakose cha kusema paka shume

Najua inawachoma choma kushinda pini
Wanatamani ndo wangekuwa mimi
Unavyonipa joto centigrade tisini
Aah raha

Najichanganya hiliki na mdalasini
Lowesha nguo nisiende kazini
Nkichafuka nifute kwa ulimi
Aaah raha raha
Ooh oooh..oooh

Honey love sweetheart teamo
My love, my baby, my everything
Honey love sweetheart teamo
My love, my baby, my everything

Yeah yeah yeah yeah...
Yeah yeah yeah yeah...

Mapenzi ni kama upepo
Unavuma ukipepea mioyo yetu
Umevumini kwetu vicheko
Wameona ununa hizo sio shida zetu

Na wanune, wanune wanune
Na wanune hawakosi cha kusema paka shume
Si umuache, wacha tukusaidie
So tukonaye, acha tukusaidie
Mlisema wa nini, acha tukusaidie
Acha tukusaidie

Ukasema umemchoka, acha tukusaidie
Leo macho yanakutoka, acha tukusaidie
Mnanuna nini wewe, acha tukusaidie

Oooh, oooh, oooh...

Honey love sweetheart teamo
My love, my baby, my everything
Honey love sweetheart teamo
My love, my baby, my everything

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Flowers II (Single)


Copyright : (c) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RAYVANNY

Tanzania

Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...

YOU MAY ALSO LIKE