Honey Lyrics

Honey love sweetheart teamo
My love, my baby, my everything
Ananiamsha kwa mabusu mabusu
Mama ananipa massage ya mwili kwa chuchu
Nyama ananipa biriani upaja wa kuku
Jamaa mbuzi kaja zizini simba na Zuchu
Na wanune wanune wanune
Na iwaume wakose cha kusema paka shume
Najua inawachoma choma kushinda pini
Wanatamani ndo wangekuwa mimi
Unavyonipa joto centigrade tisini
Aah raha
Najichanganya hiliki na mdalasini
Lowesha nguo nisiende kazini
Nkichafuka nifute kwa ulimi
Aaah raha raha
Ooh oooh..oooh
Honey love sweetheart teamo
My love, my baby, my everything
Honey love sweetheart teamo
My love, my baby, my everything
Yeah yeah yeah yeah...
Yeah yeah yeah yeah...
Mapenzi ni kama upepo
Unavuma ukipepea mioyo yetu
Umevumini kwetu vicheko
Wameona ununa hizo sio shida zetu
Na wanune, wanune wanune
Na wanune hawakosi cha kusema paka shume
Si umuache, wacha tukusaidie
So tukonaye, acha tukusaidie
Mlisema wa nini, acha tukusaidie
Acha tukusaidie
Ukasema umemchoka, acha tukusaidie
Leo macho yanakutoka, acha tukusaidie
Mnanuna nini wewe, acha tukusaidie
Oooh, oooh, oooh...
Honey love sweetheart teamo
My love, my baby, my everything
Honey love sweetheart teamo
My love, my baby, my everything
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Flowers II (Single)
Copyright : (c) 2022
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
RAYVANNY
Tanzania
Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...
YOU MAY ALSO LIKE