Home Search Countries Albums

Ni Wewe

K2GA

Ni Wewe Lyrics


Tangu nilipokupata sijawahi kujuta oh
Na mapenzi unayonipa sitaki kukuacha
Ujawahi nikosea na nafsi unaikonga oh
Na kwako nanata sitaki bambuka

Unanipa raha ni wewe
Unanipa raha ni wewe we
Unanijali hujawahi nikera
Unanipenda mi napagawa

Unayenipa raha ni wewe
Unayenipa raha ni wewe we
Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha

Ni wewe wewe niliyekungojea
Ni wewe wewe niliyekusubiria
Ni wewe wewe Mola amenipatia
Ni wewe wewe raha unanipatia

2Ga nitapuliza tarumbeta
Ili upate kujua 
Kwamba nimepata yule niliyengojea
Na kwanza hana pupa ndo kwanza ananitake care
Ananibembeleza jamani raha ananipatia

Kama zawadi ni mtoto yalah
Ndivyo nilivyosema haya
Kwake nimezama 
Kichwani amenitawala

Unanipa raha ni wewe
Unanipa raha ni wewe we
Unanijali hujawahi nikera
Unanipenda mi napagawa

Unayenipa raha ni wewe
Unayenipa raha ni wewe we
Unanipa raha, unanipa raha
Unanipa raha

Ni wewe wewe niliyekungojea
Ni wewe wewe niliyekusubiria
Ni wewe wewe Mola amenipatia
Ni wewe wewe raha unanipatia

Kama zawadi ni mtoto yalah
Ndivyo nilivyosema haya
Kwake nimezama 
Kichwani amenitawala

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Safari (EP)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

K2GA

Tanzania

K2GA is a Tanzanian singer and songwriter  signed under KINGS MUSIC label. ...

YOU MAY ALSO LIKE