Home Search Countries Albums

Lamba lolo

BEKA FLAVOUR Feat. PIERRE LIQUID

Lamba lolo Lyrics


Go down ati nini?
Lamba lolo, lamba unyayo
Go down...Mafia

Ye kitandani fundi, akipangua me napanga
Ila miepo ya bundi, temeke napiga mapanga
Nimenasa kwa gundi, kanituliza kilanga
Machenga chenga sipigi, nimetuliza kananda

Yeah, 
Kwako sipingi, we refa piga firimbi(Iyee)
Kiishe kipindi, zungusha kataka maringi(Iyee)
Shika ngingingi, zunguka msambwanda shangingi(Iyee)
Lamba mbilimbi, kisimani ishazama shilingi(Iyee)

Go down(Ati nini? lamba lolo
Go down, lamba lolo
Go down, lamba lolo
Go down, lamba lolo

Sukari guru, toto noma la kinyaturu
Mie na ukandu guru, nimezama yote maguru
Natima mpaka ikulu, anavyojua kupiga nduru
Amenipaga uhuru, mie kuchezeaga furu

Mmmh, kamanzi kamenikamata
Kwake mi sina mashaka
Hatuchoki kuchanga karata
Tunakimbizana mchaka mchaka

Amejizima na data
Hataki message utata
Navyompa mie vyamtosha ye
Ananipa ngulu na supu ya papa

Yeah, 
Kwako sipingi, we refa piga firimbi(Iyee)
Kiishe kipindi, zungusha kataka maringi(Iyee)
Shika ngingingi, zunguka msambwanda shangingi(Iyee)
Lamba mbilimbi, kisimani ishazama shilingi(Iyee)

Go down(Ati nini? lamba lolo
Go down, lamba lolo
Go down, lamba lolo
Go down, lamba lolo

Simama, japo kidogo 
Waonyeshe yako majonjo
Binuka, pinda mgongo
Waone lako gongingo

Zungusha kidogo 
Uno la tanda, eeh iyee, uno la tanda
Fanya kuinama
Mahindi panda, oooh uo, mahindi panda 

Kidogo chutama
Kama unataga, oooh iyee, kama unataga
Shasha
Piga msamba, piga msamba 

Ahaaa...mama
Ati nini? Mambo ya kukuniwa nazi
Lamba lolo, Afya ni moto balaa
Hatari fire

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Lamba lolo (Single)


Copyright : All rights t the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEKA FLAVOUR

Tanzania

BEKA FLAVOUR  real name Bakari Katuti is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE