Salimia Watu Lyrics
Si kuna Mungu, Mungu wa watu
Ndiye hutuweka pamoja
Huyu ni ndugu, yule rafiki
Wote ni kitu kimoja
Uwe m Israeli, uwe kabila la Yudah
Muumba wetu mmoja
Si tuliumbwa na Mungu, kuishi kwetu ni Mungu
Na uzima huu ni Mungu
Waishi vipi na watu wako wa mtaani
Hapa duniani
Utu kwa watu ndani yake twaona upendo
Uwapo hai duniani
Salimia watu pesa huisha
Salimia watu, utu ni utu, ongea na watu
Ndio watakuzika kesho
Salimia watu, utu ni utu, waheshimu watu
Pesa huisha
Salimia watu, utu ni utu, ongea na watu
Ndio watakuzika kesho
Salimia watu, utu ni utu, waheshimu watu
Hakuna jambo lisilo mwisho
Hata bado tujivune
Chini uhai, vitu na mali
Hivi vyote ni vya Mungu
Dunia hii tunapita na njia yetu ni moja
Kuna kifo na uzima
Je unatenda ya Mungu, unatimiza ya Mungu
Wamtegemea Mungu
Kwa wema wenu, kwa watu twaona upendo
Upendo wa Mungu
Anatupenda hutuwazia mema kila siku
Tuwapo hai duniani, waheshimu watu
Pesa huisha
Salimia watu, utu ni utu, ongea na watu
Ndio watakuzika kesho
Salimia watu, utu ni utu, waheshimu watu
Pesa huisha
Salimia watu, utu ni utu, ongea na watu
Ndio watakuzika kesho
Salimia watu, utu ni utu, waheshimu watu
Salimia watu, ongea na watu
Salimia watu, waheshimu watu
Salimia watu, ongea na watu
Salimia watu, waheshimu watu
(Ishi na watu wapende watu)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Salimia Watu (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
JAPHET ZABRON
Tanzania
Japhet Zabron is a gospel artist, singer, gospel songwriter and a guitarist from Tanzania a mem ...
YOU MAY ALSO LIKE