Home Search Countries Albums

Niombee Lyrics


Kwa hisi anaona
Nikifumba macho yangu
Tena tena mazuri mengi
Mungu aniwazia

Ya njiani yananitisha
Hata hunirudisha nyuma
Namkosea Mungu na watu
Hainifurahishi kabisa

Naomba niombee
Rafiki niombee
Na moyo unauma
Mbona hivi, naumia

Sipendi nikosee
Na moyo uumie
Yaiteni mapito
Mbona hivi, naumia

Sina hofu na nilivyoanza
Ninawaza nitamalizaje
Ulificha mambo mambo ya kesho
Ya kesho nipe mwisho mzuri

Naomba niombee
Na mi niwe mtu mwema
Nimpendeze Mungu na watu
Niwe wako bwana milele

Naomba niombee
Rafiki niombee
Na moyo unauma
Mbona hivi, naumia

Sipendi nikosee
Na moyo uumie
Yaiteni mapito
Mbona hivi, naumia

Naomba niombee
Rafiki niombee
Na moyo unauma
Mbona hivi, naumia

Sipendi nikosee
Na moyo uumie
Yaiteni mapito
Mbona hivi, naumia

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Niombee (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JAPHET ZABRON

Tanzania

Japhet Zabron is a gospel artist, singer, gospel songwriter and a guitarist from Tanzania a mem ...

YOU MAY ALSO LIKE