Nitue Lyrics

(Mocco)
Narararara, Narararara
Narararara, hey darling
Sio hadithi za babu
Yametokea hadharani mtogole
Yameniacha mkavu
Na moto wa uchungu ukolee
Huyu mtoto ngangaru
Japo sura sauti mlokole
Nishamchezesha patu
Naweka mwenge wa kula na ale
Mi nang'ang'ana kujenga, mwezangu anaharibu
Ya snura majanga nayaona kila siku
Abadilisha waganga niroge niwe bubu
Kushikia na mapanga ugomvi sio issue
Ka daladala za kimara mbezi
Kwa jimanara na mtoni mtembezi
Kote kalala hapa na simwezi
Nitue
Pwani na bara wanazo tetesi
Uwe kipara mawaki ni terasi
Gumba gumbara bora mpoze keshi
Aniue
Mmmh nitue, hey nitue
Yeah nitue aibu
Mmmh nitue, hey nitue
Yeah nitue taratibu
Ah mapenzi yalikuwaga zamani
Siku hizi drama na ushindani
Wengi waliniita baby baby, wengine hunnie
Na mwisho wake penzi kuwaga mtihani
Na najaribu sahau lakini bado
Bado, bado mama mapenzi alinitupia virago
Haya mapenzi yalifanya moyo nione mzigo
Ah maumivu yakaniandama double
Ka daladala za kimara mbezi
Kwa jimanara na mtoni mtembezi
Kote kalala hapa na simwezi
Nitue
Pwani na bara wanazo tetesi
Uwe kipara mawaki ni terasi
Gumba gumbara bora mpoze keshi
Aniue
Mmmh nitue, hey nitue
Yeah nitue aibu
Mmmh nitue, hey nitue
Yeah nitue taratibu
Mbazi, usinipe maradhi we
Mbazi, sioni sababu we
Mbazi, hey inatosha
Mbazi, usinipe maradhi we
Mbazi, sioni sababu we
Mbazi, aah inatosha
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Nitue (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
DANZAK
Tanzania
DanZak is an artist/singer/songwriter and airline pilot. from Tanzania, based in The Middle East. ...
YOU MAY ALSO LIKE