Home Search Countries Albums

Cha Kutumaini Sina

MARTHA MWAIPAJA

Cha Kutumaini Sina Lyrics


Cha kutumaini sina ila
Roho yako bwana
Sina wema wa kutosha
Dhambi zangu kuziosha

Cha kutumaini sina ila
Roho yako bwana
Sina wema wa kutosha
Dhambi zangu kuziosha

Kwa baba nanyenyeke, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Sitarudishwa nyuma na chochote, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Anapigana kwa ajili yangu, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Mtetezi anaishi milele milele, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Njia yangu iwe ndefu, Yeye hunipa wokovu
Mawimbi yakinipiga, nguvu zake ndiyo nanga
Njia yangu iwe ndefu, Yeye hunipa wokovu
Mawimbi yakinipiga, nguvu zake ndiyo nanga

Kwa baba yangu nasimama, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Mwenzenu nikilia ninanyamazishwa, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Anateta na adui zangu wote, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Anaandaa meza mbele ya watesi wangu, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Nikiitwa hukumuni, rohoni nina amani
Nikivikwa haki yake, sina hofu mbele zake
Nikiitwa hukumuni, rohoni nina amani
Nikivikwa haki yake, sina hofu mbele zake

Kwa baba nanyenyekea aah, mwamba ni sala
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Mwenzenu sina mashaka nimesimamishwa, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Sijajaza mashaka ndani yangu nina nguvu, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Ananichunga popote niendapo niwe salama, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Amenificha kwenye mwamba adui hataniona, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Asante mwamba imara

Mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama

Sitaogopa chochote niko kwenye mwamba, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Kitu gani mwenzenu kinitoe kwake, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Ananikinga na kila hila za adui, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama
Ameyanyoosha mapito yangu napita salama, mwamba ni salama
Ndiye mwamba ni salama, ndiye mwamba ni salama

Amenilaza kwenye kifua chake cha upendo
Ni mwamba salama kwangu salama
Nimuache niende kwa nani, kwa nani mwenzenu ooh
Yeye ni mwamba ni mwamba, ni mwamba....

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Cha Kutumaini Sina (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MARTHA MWAIPAJA

Tanzania

Martha Mwaipaja is an influential Gospel Singer hailing from Tanzania in East Africa, and recognized ...

YOU MAY ALSO LIKE