Nyumbani Lyrics

Unanipendezea unapotembea ukitabasamu
Mi napata raha unanivutia ukiniangalia
Dunia yangu inakamilika
Uwapo tu hapa nyumbani
Nikisema ni wewe elewa ni wewe
Unayenipa kiwewe hapa nyumbani
Nilie hapo nyumbani, aii aii mama wee
Niketipo chumbani, aai aai wee
Najionea najihisia najionea, nyumbani
Najionea mahaba tu, nyumbani
Najionea najihisia najionea, nyumbani
Najionea mahaba tu, nyumbani
Sichoki sura yako nalo tamu penzi lako
Nzuri sauti yako na ucheshi wako, safari yangu kwako
Penzi langu ni lako, maisha yangu ya kwako
Ya kwako tu, kwako tu hapa nyumbani
Nikisema ni wewe elewa ni wewe
Unayenipa kiwewe hapa nyumbani
Nilie hapo nyumbani, aii aii mama wee
Niketipo chumbani, aai aai wee
Najionea najihisia najionea, nyumbani
Najionea mahaba tu, nyumbani
Najionea najihisia najionea, nyumbani
Najionea mahaba tu, nyumbani
Aii aii mama wee
Aai aai wee
Najionea najihisia najionea, nyumbani
Najionea mahaba tu, nyumbani
Najionea najihisia najionea, nyumbani
Najionea mahaba tu, nyumbani
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : 20 (Album)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
LADY JAYDEE
Tanzania
Lady Jaydee also known as Binti Machozi, real name Judith Wambura is a recording artist from Tanzani ...
YOU MAY ALSO LIKE