Simuachi Lyrics
Nimekichagua chama
Nawe ndo jimbo ooh
Asijemiliki mpinzani mmh yeeh
Na haki tufike kiamaa
Ndege kwa ulimbo ooh
Nimenasa mtegonii
Mola amenibarikiaa
Nimepata toto la tanga mwambani
Nimetunukiwa
Sisemi ameniweka kwapani
Na anavyonipatia
Utasema labda ana yangu ramani
Keshafunga njia ya
Mipaka ya china na japani
Lake pendo ndani lanipa ashuo
Ananipenda vibaya
Mkali kwenye tendo
Kahitimu chuo mwana hanaga haya
Nanshampa kitengo kwa mipukuchuo
Me najimwaya mwayaa
Mswaki kwenye pengo
Na misukutuo mwali hanaga baya
Wala (simwachi)
Ye ndo mwanga me tochi oooh oooh
Wala sijutii (sijutii)
Kwake sifurukuti oooh oooh
Kibaba mama twacheza kitandanii
Tukipeana somo
Hili huba letu la thamani
Nalishwa nyama ya pweza forodhanii
Nyi chongeni midomo
Kwa raha zetu atuachani
Kachirii iih kachiri saga
Tumependezana wawili saga
Usiogope wanga wakitujadili, iih jadiliiii
Ooh kachiri kachiri saga
Tufe na tuzikwe wawili (saga)
Oooh nana nana
Lake pendo ndani lanipa ashuo
Anaipenda vibaya
Mkali kwenye tendo
Kahitimu chuo mwana hanaga haya
Nanshampa kitengo kwa mipukuchuo
Me najimwaya mwayaa
Mswaki kwenye pengo
Na misukutuo mwali hanaga baya
Wala (simwachi)
Ye ndo mwanga me tochi oooh oooh
Wala sijutii (sijutii)
Kwake sifurukuti oooh oooh
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2023
Album : Simuachi (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
CHEED
Tanzania
Cheed is an artist from Tanzania signed under Konde Music Worldwide by Harmonize. He was formerly si ...
YOU MAY ALSO LIKE