Home Search Countries Albums

Wangapi? (Amapiano)

IBRAH NATION

Wangapi? (Amapiano) Lyrics


Nashindwa kuelewa adhabu
Naona ngekewa maajabu
Nimechelewa
Sijaelewa nahisi kudata
Nikilewa naishia kubwata aah ah

Nilidhani kwamba we ni wangu 
Kumbe umetupanga kama fungu
Chagua moja unampenda nani
Hatuwez wote tukakuweka ndani

Utapenda Wangapi?
Kaa na nani nani
Baki tuu na Mimi eeh 
Na mii iii oohh
Wangapi ngapi
Utazaa na nani nani
Baki tu na Mimi babe
Na mii iiii
Ooh oh yeah

Mimi ndio yule akupendae
Na tena bure nilikupenda we
Sikujua una msululu
Mambo yako ni vululu
Mi mwenzako mi kunguru
Naogopa

Ukibaki na yule mi sitaki
Babe I wanna be your number one
Wasikugusee 
Wasikuchezee
Mimi ntatulia 
Uuooo ooh ooh ooh yeah

Nilidhani kwamba we ni wangu 
Kumbe umetupanga kama fungu
Chagua moja unampenda nani
Hatuwez wote tukakuweka ndani

Utapenda Wangapi
Kaa na nani nani
Baki tuu na mimi eeh 
Na mii iii oohh
Wangapi ngapi
Utazaa na nani nani
Baki tu na mimi babe
Na mii iiii
Ooh oh yeah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Wangapi? (Amapiano) (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

IBRAH NATION

Tanzania

Ibrah Nation is a recording artist, song writer and composer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE