Home Search Countries Albums

Alele

MBOSSO

Alele Lyrics


Heeey...
Nikisema nitakufa Lisa mapenzi mungu nitamkosea...
Manayadhani na ufa kuna mwenzangu nyumba inamdondokea...
Mi najua sina thamani kwako utanikumbuka...
Nishatenda wema...
Mi nakwenda zangu utanikumbuka...
Pole Sana moyo we mwaya we najua amekuumiza
Ila yupo mungu huyo Baba eeh najua atalipiza...
Pole Sana moyo...
Mwaya najua amekuumiza ila yupo mungu huyo Baba najua atalipiza...
Alele nishalia...
Alele nikaumia...
Alele sina thamani kwako...
Alele mutima...
Alele vumilia.
Maana wengine wapo...
Alele nishalia...
Alele nikaumia...
Alele sina thamani kwako...
Alele mutima...
Alele vumilia maana wengine wapo...
Ooooh...
Kwa mitaa jama nandamana...
Kweli mapenzi yanaliliwa...
Nliachaga drama na ujana eeeyeee...
Yalianzaga enzi...
Ikanenaga na nafsi Acha nivumilie...
Jamani mapenzi...
Yamekuwa hadithi Acha nisimuliiie...
Pole Sana moyo eeh...
Mwaya eh najua amekuumiza...
Ila yupo mungu huyo Baba eeh najua atalipiza...
Pole Sana moyo oo...
Mwayaa najua amekuumiza...
Ila yupo mungu babaa...
Najua atalipiza...
Alele nishalia...
Alele nikaumia...
Alele sina thamani kwako...
Alele mutima...
Alele vumilia maana wengine wapo...
Alele nishalia ...
Alele nikaumia...
Alele sina thamani kwako...
Alele mutima.
Alele vumilia maana wengine waapoo...
Oooh yeah...
Oooh uu yeaah.

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Alele (Single)


Copyright : (c)2018


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

MBOSSO

Tanzania

MBOSSO Khan (real name Mbwana Yusuph Kilungi  born 3rd October 1991) is an artist |   ...

YOU MAY ALSO LIKE