Home Search Countries Albums

Moyo Lyrics


Kipya usichojua 
Maana isielewe ka barani
Labda ulipogundua
Ukanunua kisu cha butchery

We ukanirarua 
Leo kwako sina dhamani tena
Ibada niombe dua
Labda atarudi kuwa ka zamani

Oooh ooh 

Macho yangu yamekaa kusubiri
Kwa sababu ya kukesha
Na nikikesha kuna mawili
Huja usije kabisa

Moyoni naona dalili
Pendo nalichekecha
Tamu imegeuka shubiri
Mapenzi yamekwisha kabisa ee

Hata mi nina moyo, nina moyo
Usisahau nina moyo nina moyo
Ukumbuke moyo nina moyo
Wenye nyama moyo nina moyo

Hata mi nina moyo, nina moyo
Usisahau nina moyo nina moyo
Ukumbuke moyo nina moyo
Wenye nyama moyo nina moyo

Nina imani unavyoniliza leo
Na mi kesho Mungu atanilipia
Siamini mi nimegeuka kero
Sina chochote cha kukupa hisia

Hivi ni kweli ninayo yaona leo
Au niko ndotoni?
Mapenzi yamekuwa kwa leo
Yananichimbiwa shimoni

Macho yalalamika kusubiri
Kwa sababu ya kukesha
Na nikikesha kuna mawili
Huja usije kabisa

Moyoni naona dalili
Pendo nalichekecha
Tamu imegeuka shubiri
Mapenzi yamekwisha kabisa ee

Hata mi nina moyo, nina moyo
Usisahau nina moyo nina moyo
Ukumbuke moyo nina moyo
Wenye nyama moyo nina moyo

Hata mi nina moyo, nina moyo
Usisahau nina moyo nina moyo
Ukumbuke moyo nina moyo
Wenye nyama moyo nina moyo

(Nina moyo mama, nina moyo mama)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Moyo (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAWA NTAREJEA

Tanzania

Hawa Mayoka  stage name ' Hawa Ntarejea' is an artist from Tanzania. Hawa is best known ...

YOU MAY ALSO LIKE