Jirani Lyrics

Ooh naaah nanaaah
Eti jay once again
Akipita kwa nje mi nipo kwa dirisha
Namchungulia oh mpaka anafika
Ila sasa hizi habari nilizopata ndo zinanisikitisha
Et naambiwa ame hama kabisa
Ai wee
Nazi sio nazi tui sio tui
Nitamuaona wapi tena hata sijui
Uuuuh nazi sio nazi
Oooh tui sio tui
Nitampata wapi tena hata sijui
Mbele ya macho yangu ametoweka
Simuoni tena jirani
Ooh simuoni tena jirani
Shi, simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
Nimemmiss kweli mpaka nataka kulia
Nikikumbuka asubui salam zake akini salimia
Hapa nilipo sielewi
Bora ningeshamwambia
Aondoke akijua ka nampenda tena kwa hisia
Jirani oh uko wapi aah
Aah jirani oh uko wapi aah eeh
Nazi sio nazi tui sio tui
Nitamuaona wapi tena hata sijui
Uuuuh nazi sio nazi
Oooh tui sio tui
Nitampata wapi tena hata sijui
Mbele ya macho yangu ametoweka
Simuoni tena jirani
Ooh simuoni tena jirani
Shi, simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
Simuoni tena jirani
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2025
Album : (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
JAY MELODY
Tanzania
Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...
YOU MAY ALSO LIKE