Home Search Countries Albums
Read en Translation

Jirani Lyrics


Ooh naaah nanaaah

Eti jay once again

Akipita kwa nje mi nipo kwa dirisha

Namchungulia oh mpaka anafika

Ila sasa hizi habari nilizopata ndo zinanisikitisha

Et naambiwa ame hama kabisa

Ai wee

Nazi sio nazi tui sio tui

Nitamuaona wapi tena hata sijui

Uuuuh nazi sio nazi

Oooh tui sio tui

Nitampata wapi tena hata sijui

Mbele ya macho yangu ametoweka

Simuoni tena jirani

Ooh simuoni tena jirani

Shi, simuoni tena jirani

Simuoni tena jirani

Simuoni tena jirani

Simuoni tena jirani

Nimemmiss kweli mpaka nataka kulia

Nikikumbuka asubui salam zake akini salimia

Hapa nilipo sielewi

Bora ningeshamwambia

Aondoke akijua ka nampenda tena kwa hisia

Jirani oh uko wapi aah

Aah jirani oh uko wapi aah eeh

Nazi sio nazi tui sio tui

Nitamuaona wapi tena hata sijui

Uuuuh nazi sio nazi

Oooh tui sio tui

Nitampata wapi tena hata sijui

Mbele ya macho yangu ametoweka

Simuoni tena jirani

Ooh simuoni tena jirani

Shi, simuoni tena jirani

Simuoni tena jirani

Simuoni tena jirani

Simuoni tena jirani

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2025


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

JAY MELODY

Tanzania

  Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...

YOU MAY ALSO LIKE