Home Search Countries Albums

Anajishaua

DANZAK

Anajishaua Lyrics


Hivi we kabila gani?
Asilia ulipotoka hunny
Umbile lako basi
Nichombeze nichombeze

Mahaba 
Unikoleze unikoleze
Eeeh nitulize nitulize
Kwako nijimalize malize

Ananipa joto
Anazipiga deki nasafisha uwanja
Wema Sepeto
Mtoto sauti chiriku akicheka ana mwanya

Baby please ma
Tugandane pizza na cheese ma
Kama maji kwenye kisima
Jitenge nikuchote, nikuvute ning'ang'anie

Anajishi anajishaua
Anajishishi anajishaua
Eeeh shishi anajishaua
Anajishi shi anajishaua

Na mapozi ya camera, jishaua
Kanga akivaa na dera, jishaua
Tamu yako kuku sekela, jishaua
Ana upole cinderela, jishaua

Na mapozi ya camera, jishaua
Kanga akivaa na dera, jishaua
Tamu yako kuku sekela, jishaua
Ana upole cinderela, jishaua

Hey darling

Ana kachiri
Sifa zake waweza tumia mashahiri
Kama kazaliwa jana siri
Sifanyi tena sana namuweka dhahiri

Tupatwe na baraka za mama

Anajua kujipamba ana, jishaua
Ni mjuzi wa kadanda ana, jishaua
Tena akicheza vanga charanga
Ngoma korola Tanga, anajishaua

Babu Juma kasimama dede
Kaupinda ye, mgongo, kaupinda
Makadani nakuwaga bwege
Kaupinda ye, mgongo, kaupinda

Baby please ma
Tugandane pizza na cheese ma
Kama maji kwenye kisima
Jitenge nikuchote, nikuvute ning'ang'anie

Anajishi anajishaua
Anajishishi anajishaua
Eeeh shishi anajishaua
Anajishi shi anajishaua

Na mapozi ya camera, jishaua
Kanga akivaa na dera, jishaua
Tamu yako kuku sekela, jishaua
Ana upole cinderela, jishaua

Na mapozi ya camera, jishaua
Kanga akivaa na dera, jishaua
Tamu yako kuku sekela, jishaua
Ana upole cinderela, jishaua

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Anajishaua (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DANZAK

Tanzania

DanZak is an artist/singer/songwriter and airline pilot. from Tanzania, based in The Middle East. ...

YOU MAY ALSO LIKE