Kidera Lyrics
Mtoto kakunja dera
Katikati ya masela
Eh eh wazee vipi
Aah anatubipu
Mtoto kisambusa eeh
Amina shika ukuta mama
Nisimamie ukucha sio sana
Hepi ya bato
Usisahau mafuta
Upepo mwingi utapauka mama
Hatujifuniki shuka
Chumbani tuna kipusa mama
Nimekuita mwenyewe
Unakuja na timu
Raha ya bia tulewe
Tupandishe steam mama
Dawa ya moto ni moto
Ya moto ni moto
Dawa ya moto ni moto
Unakoleza
Waungwana nina swali (Uliza)
Niwaswali je
Ngoma ikivuma inakuwaje?
Inapasuka (Aah inapasuka)
Inapasuka (Inapasuka)
Inapasuka (Inapasuka) Pasuka
Mtoto kisambusa eeh
Amina shika ukuta mama
Nisimamie ukucha sio sana
Hepi ya bato
Usisahau mafuta
Upepo mwingi utapauka mama
Hatujifuniki shuka
Chumbani tuna kipusa mama
Nimekuita mwenyewe
Unakuja na timu
Raha ya bia tulewe
Tupandishe steam mama
Dawa ya moto ni moto
Ya moto ni moto
Dawa ya moto ni moto
Unakoleza
Mama sitaki maharagwe
Nataka mlenda
Nakupa sababu moja tu
Unateleza mama
Dawa ya moto ni moto
Ya moto ni moto
Dawa ya moto ni moto
Unakoleza
Waungwana nina swali (Uliza)
Niwaswali je
Ngoma ikivuma inakuwaje?
Inapasuka (Aah inapasuka)
Inapasuka (Inapasuka)
Inapasuka (Inapasuka) Pasuka
Dawa ya moto ni moto
Ya moto ni moto
Dawa ya moto ni moto
Unakoleza
Mama sitaki maharagwe
Nataka mlenda
Nakupa sababu moja tu
Unateleza mama
Dawa ya moto ni moto
Ya moto ni moto
Dawa ya moto ni moto
Unakoleza
(Kwa Mix Lizer)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Refresh Mind (Album)
Copyright : (c) 2020 Hightable Sounds.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE