Mwambie Lyrics

Heshima kumnyenyekea
Nilivyomnyenyekea
Akaniona si chochote kwake
Mazima akanipotezea
Akanipotezea
Alipomaliza shida zake
Ila bado siamini
Kweli ndo yule
Alokuwa akisema
Halali asiponiona
Na kujilisha ya nini
Yote ni bure
Nikamuita chanda chema
Alinidanganya
Zile meseji za kunichombeza
Zinaniuma roho
Mara akinidekeza Elaji njoo
Ungesema nilipoteleza
Nikamwomba po
Si vyema amenitelekeza
Eti kisa doh
Heshima kumnyenyekea
Nilivyomnyenyekea
Akaniona si chochote kwake
Mazima akanipotezea
Akanipotezea
Alipomaliza shida zake
Ila bado siamini
Kweli ndo yule
Alokuwa akisema
Halali asiponiona
Na kujilisha ya nini
Yote ni bure
Nikamuita chanda chema
Alinidanganya
Zile meseji za kunichombeza
Zinaniuma roho
Mara akinidekeza Elaji njoo
Ungesema nilipoteleza
Nikamwomba po
Si vyema amenitelekeza
Eti kisa doh
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Mwambie
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
HARMONIZE
Tanzania
Harmonize, born Rajab Abdul Kahali on 3 October 1991 in Mtwara, Tanzania, is a Tanzanian singer ...
YOU MAY ALSO LIKE