Home Search Countries Albums

Nimesamehewa

PAUL CLEMENT

Nimesamehewa Lyrics


Adui naye anakazana
Kunifanya nisisogee
Auharibu moyo wangu wa ibada
Uwe harufu mbaya kwa bwana

Kajenga kiburi ndani yangu
Kajaza uchafu ndani yangu
Katega kaburi mbele yangu
Ili nianguke bila kuona

Kwanza alinikosesha
Kisha akafanya mashtaka
Nionekane kuwa na makosa
Kumbe nilishasamehewa
Kumbe nilishasamehewa

Adui yangu nikwambie
Mungu anasemehe na kusahau
Unachoshtaki yeye hakijui
Unachoshtaki yeye hakumbuki
Unachoshtaki yeye hakumbuki

Nimesamehewa, nimelipiwa deni
Mimi si mtumwa tena, mimi si mtumwa tena 
Nimesamehewa, nimelipiwa deni
Mimi si mtumwa tena, mimi si mtumwa tena 

Nimesamehewa
Nimelipiwa deni
Mimi si mtumwa tena
Mimi si mtumwa tena 

Nimesamehewa
Kwa damu ya Yesu
Nimekombolewa 
Kwa damu ya Yesu

Lile deni nalodaiwa halipo tena yeah
Lile deni nalodaiwa halipo tena 
Lile deni nalodaiwa halipo tena
Ile hati ya mashtaka, haipo tena 

Nimesamehewa
Kwa damu ya Yesu
Nimekombolewa 
Kwa damu ya Yesu

Ndio, nimesamehewa
Kwa damu ya Yesu
Kweli, nimekombolewa
Kwa damu ya Yesu

Ndio, mimi si mtumwa tena 
Kwa damu ya Yesu
Am forgiven by the blood, kweli
Am forgiven by the blood, kwa damu ya Yesu

Ndio, nimesamehewa
Kwa damu ya Yesu
Lile deni nalodaiwa halipo tena
Ile hati ya mashtaka haipo tena

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nimesamehewa (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PAUL CLEMENT

Tanzania

PAUL CLEMENT  is a Gospel singer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE