Home Search Countries Albums

Unafaa Lyrics


Macho yameona na tena nimesikia habari njema kwangu
Moyo una shauku pia kukuona zaidi bwana wangu
Nina kiu kiu isio kata aah ni kama nipo jangwani naona vumbi tu
Nahitaji chakula cha roho yangu mi nipone kwa maana nipo jangwani
(Ninakuhitaji yeyeeh)

Ukae na mimi  ukae ndani yangu nikae na wewe uwe salama yangu
Ukae na mimi  ukae ndani yangu nikae na wewe uwe salama yangu
Hakika wewe   unafaa (unafaa)

Baba sitamani nije kwako mikono mitupu nibariki nikutolee sadaka
Najua nikiwa mikononi mwako  nitakua shwari nitakuwa shwari
Kwa mana ahadi zako si uongo (uongo) ndivyo hivyo unatimiza ahadi
Ndo maana sina wasiwasi ndo maana sina waasi

Ukae na mimi ukae ndani yangu nikae na wewe iwe salama yang
Baba (huhuhuuuh) ukae ndani yangu nikae na wewe (babababababah)
Ni wewe unanifaa    unafaa  (unafaa)
We ni babaah (unafaa)   baba ni wewe unastahili (unafaa)

Njoo ukate kiu yangu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Ushuhuda (Album)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

WALTER CHILAMBO

Tanzania

WALTER CHILAMBO  is a Gospel Singer and Song Writer from Tanzania. He was the winner at Epic Bo ...

YOU MAY ALSO LIKE