Home Search Countries Albums

Ua Lyrics


We kama kitunguu
Ukikosekana ladha hakuna tena
We ndo langu fungu
Nikutunze daima we ndo chanda chema

Si wapiga debe waruka debe, wala haufanani
Ukisimama kama dede, kae kama ndege
Dema ubaki nami

Usije ukaniacha kwako nimenasa
Aiyoo, wee dada
Kuvuja kwa pakacha
We hasi mi ndo chanya
Zikigusana lawama

Oooh mengine hayahitaji utumie hasira
Mwenzako nakupenda sana
Nimefunzwa mapenzi na subira
Usije jikondesha mama

Mchukuzi ilokosa kuingia ajira
Nimeshajiwekeza mama ee
Ulipo nipo sitabanduka
Nisije nikakukosa baadae

Mwanzo nilijuaga, unanizingua sana
Mwanzo nilijuaga, unanizingua sana
We ndo ua ua, unachanua unanifanya nicheke
Baby we ndo ua ua unachanua hautaki niteseke

Mwanzo nilijuaga, unanizingua sana
Mwanzo nilijuaga, unanizingua sana
We ndo ua ua, unachanua unanifanya nicheke
Baby we ndo ua ua unachanua hautaki niteseke

Taratibu unaongea, na ulivyo mpole mpole
Nikikufokea nahisi nahaso
Maneno hayahitaji upole
Nakukosea haunichoki bado

Nashukuru moyo umenipa
Furahia penzi utulie
Kwenye raha hapakosi shida
Wataongea mengi uumie 

Nashukuru moyo umenipa
Furahia penzi utulie
Kwenye raha hapakosi shida
Wataongea mengi uumie 

Oooh mengine hayahitaji utumie hasira
Mwenzako nakupenda sana
Nimefunzwa mapenzi na subira
Usije jikondesha mama

Mchukuzi ilokosa kuingia ajira
Nimeshajiwekeza mama ee
Ulipo nipo sitabanduka
Nisije nikakukosa baadae

Mwanzo nilijuaga, unanizingua sana
Mwanzo nilijuaga, unanizingua sana
We ndo ua ua, unachanua unanifanya nicheke
Baby we ndo ua ua unachanua hautaki niteseke

Mwanzo nilijuaga, unanizingua sana
Mwanzo nilijuaga, unanizingua sana
We ndo ua ua, unachanua unanifanya nicheke
Baby we ndo ua ua unachanua hautaki niteseke

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Ua (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAMIS BSS

Tanzania

Hamis Bss is a singer/guitarist from Tanzania. He was among the participants at Bongo ...

YOU MAY ALSO LIKE