Accueil Recherche Pays Albums

Waambie

HAMADAI Feat. ROMA

Read fr Translation

Waambie Lyrics


Angua dafu, weka nazi ntakuja kuna mwenyewe
Nguo chafu weka maji sabuni ntafua mwenyewe
Sitaki kaa tupate shida mahali nimetoa mwenyewe
Kwako kirikuu sina neno karaba ni we mwenyewe

Akili ya utoto sina tena sasa nimekuwa eeh
Nataka nichukue jiko mazima pika pakua wewee
We wa kwangu wa ndoto si unajua usije nikimbia yeah
Ayaaaya ayaa yah yah

Mwenzako baby napenda uko
Ukoko koko, napenda ukoo
Hivi my baby utanipa uko
Ukoko koko, utanipa ukoko

I love you, wowooo I need you
Waambie, I love you I need you
Waambie, I love you

Yaani kama lori la mchanga naenda limwaga baharini
Sa utaamua uniite mshamba au uniite mtoto wa mjini
Mi mtoto wa Tanga wewe nyumba mganga nyumba mwinyi
Haya tandika kitanda juu ya kiti anataka nini?

Kwani una undugu na mimi?
Leta mama sasa ilo gubu la nini?
We ndo refa na una mkeka ndo sweka nikineng'eneka
Nitabweka nitatweta kama mateka we utadeka tu

Hehehehe deka mama mpaka ukue
Sio siri tena acha majirani wajue
Nikupeleke mpalange na dalali kwa Lulenge
We utachagua tupangishe au tujenge

We mpambanaji naona mvuto
Na simdanganyi ndo maana leo tupo
So tuvumilie madusko tuvuke iki kivuko
Tuishinde hi misukosuko na nikiteka nipe huko

Mwenzako baby napenda uko
Ukoko koko, napenda ukoo
Hivi my baby utanipa uko
Ukoko koko, utanipa ukoko

I love you, wowooo I need you
Waambie, I love you I need you
Waambie, I love you

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Waambie (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAMADAI

Tanzanie

Hamadai is an artist from Tanzania a member of The Mafik . ...

YOU MAY ALSO LIKE