Accueil Recherche Pays Albums

Andida

HAMADAI

Andida Lyrics


Anandida huyoo

Nimempima malaria hana, nimempina
Nimempima typhoid hana, nimempima
Nimempima na kaswende hana, nimempima
Nimempima HIV hana, nimempima 

Nataka nimpeleke kwa mama anaogopa
Nikamtambulishe kwa wana anaogopa
Mwenzenu mi bado kijana naogopa
Sijui ana ugonjwa gani huyu maana naogopa

Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Huyo anandi, anandida anandi (Andida huyo)
Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Anandi, anandida anandi (Andida huyo)

Toto kinanda shepu kibanda, ila mmh mmh
Kiuno cha langa, chambu karanga ila, anandi
Muda wote nasikia kiu kiu, aah kiu kiu
Hataki maji anataka naniliu, aah naniliu

Corona kisukari, hana
Gono, UTI, hana
Kipindu pindu yuko shwari, hana
Kumbe ana nini, anandi

Nataka nimpeleke kwa mama anaogopa
Nikamtambulishe kwa wana anaogopa
Mwenzenu mi bado kijana naogopa
Sijui ana ugonjwa gani huyu maana naogopa

Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Huyo anandi, anandida anandi (Andida huyo)
Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Anandi, anandida anandi (Andida huyo)

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Andida (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAMADAI

Tanzanie

Hamadai is an artist from Tanzania a member of The Mafik . ...

YOU MAY ALSO LIKE