Home Search Countries Albums
Read en Translation

Simu Lyrics


Hello Baba ni mimi mwanao
Hii namba nimechukua Jeremiah hapa
Inasema niite nitakuitikia
Nitakuonyeshe magumu usiyo yajua mwanangu

Ya leo simu yangu hii
Napiga kwa imani tu
Nakuomba sikiliza Daddy
Naumia moyoni

Unaweza tunusuru na hili na hili
Manabii wale Baba ungewaambia kuna Corona
Au tunadanganywa ni bandia wanaonaga
Je umekaa kimya ukitazama wanayofanya

Mbona mwaka jana walituambia 
Huu ni mwaka wa Bwana
Tumekaa mwaka ulianza shwari
Sasa hivi hatuelewi

Kila saa alama ya hatari
Ni mbaya habari
Wamekufa saba, wamekufa sita
Mara ooh mnadanganywa wamefika kumi

Mmmh acha ni sanitize
Ooh barakoa kidogo, nisishike pua 
Mmmh acha ni sanitize
Ooh barakoa kidogo, nisishike macho...

Wakati nasubiri iii...

Heri matajiri tajiri
Wanaweza kununua mask
Wengine hizo pesa
Ndo tunategemea tule 

Mama mama, ah muda wote ni presha
Maana watoto wake maisha ndo wanatafuta
Kwa siku kupata kwa siku tumezoea
Hatuna maisha kabisa ya akiba

Usipotuhurumia wewe ndo tumekwisha
Usipotuhurumia wewe ndo tumekwisha

Niliongea na waombaji
Nikawaambia tusiache kuongea
Maana adui ametumia mabaya mmh
Mi nakuamimi kuamini Baba
Mi nakuamimi mi kuamini 

Mmmh acha ni sanitize
Ooh barakoa kidogo, nisishike pua 
Mmmh acha ni sanitize
Mmmh barakoa kidogo, nisishike macho...

Wakati nasubiri iii...
Wacha ni sanitize 
(Asante)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Simu (Single)


Copyright : (c)2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

GOODLUCK GOZBERT

Tanzania

Goodluck Gozbert is a Bongo Gospel Artist/Singer from Tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE