Home Search Countries Albums

Papara Lyrics


Nilishatendwa nikasema mbona freshi
Sema shobo nikashoboka akaniseti
Nikaumizwa nikalia akanipeti
Moyo ukadunda kifuani kitenesi

Akili sina nika-fall in love again
Nikala shida nikawanga fuck the pain
Na home shida za mawifi fuck mashemu
Maana alinitoa chambo brother is game

Nilimpa kila kitu changu 
Akicheka ninasmile
Afu furaha kwangu 
Kanga moko nikasasambu
Akanikula kama fisi na tamaa yangu

Kijana anakula hatosheki
Napiga simu anapokea haeleweki
Akawa adimu namsoma hasomeki
Mapenzi hakuna real dada ni fake fake

Ninakesha na kuwaza
Kujitoa akanimwaga 
Sina kitu sina swagger
Bado ninakaza japo maumivu

Papara, papara sina sina
Papara, papara, hey
Papara papara sina sina
Papara, papara

Papara, papara sina sina
Papara, papara, hey
Papara papara sina sina
Papara, papara

Natulia tuli tuli kama maji
Haya mapenzi yasije yakaniletea maradhi
Yakanikula na kukausha kizazi
Ukanizika nikaoza wazi wazi

Sasa basi atakuja kwa wakati
I wish lini labda hapa katikati
Anipe moyo na anipende pia kwa dhati
Sio kiasi akakaza akala bati

Zile! Sitaki stress na mateso
Zile! Nagonga hodi hayupo geto
Zile! Nalipa kodi lala depo
Mwana yupo ndani mabeiby anakula upepo

Zile! Nataka atakae nipenda bado simpati
Zile! Ninaempenda hanipendi na hanitaki
Zile! Mawazo mbovu labda sinaga bahati
Mapenzi harakati ila moyo umekosa

Papara, papara sina sina
Papara, papara, hey
Papara papara sina sina
Papara, papara

Papara, papara sina sina
Papara, papara, hey
Papara papara sina sina
Papara, papara

Where is my man yoo
Where is my honey njoo
Bila weeh ni presha nakesha na we

Where is my man yo
Where is my honey njoo
Bila weeh ni presha nakesha na wee...

Papara, papara sina sina
Papara, papara, hey
Papara papara sina sina
Papara, papara

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Papara (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CHEMICAL

Tanzania

Claudia Lubao better known as CHEMICAL is a female rapper from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE