Karma Lyrics

Kama kupata njadingo kifosi
Kweli itakuponya
Sawa nitafanya kwa siri
Najua Mungu anakuona
Mabaya nilitenda nikajipa na muda
Kufa na kupona
Saivi nipo kivulini
Ila nahisi jua linanichoma
Baya ukifanya nakalia
Baya litarudi na utalia
Ubaya unafuataga baya
Watenda matendo mabaya kwa dunia
Mbaya siku yake ikifikia
Atatangatanga na dunia
Baya ukirudi ni mbaya
Unarudi vibaya malipo yake ni mateso
Na hiyo, karma
Oh karma, karma
Oh yeah yeah (Karma)
Mateso ya mapenzi siwezi sio sawa
Manyanyaso, huchoma daya karma
Oh karma, siwezi
Nimeamini sikio la kufa
Halisikiagi dawa
Kama ilivyo mwenda pole hajikwai ii
Ndo utaniamini usiziba nyufa utajenga ukuta
Mwisho wa siku lawama, lawama
Baya ukifanya nakalia
Baya litarudi na utalia
Ubaya unafuataga baya
Watenda matendo mabaya kwa dunia
Mbaya siku yake ikifikia
Atatangatanga na dunia
Baya ukirudi ni mbaya
Unarudi vibaya malipo yake ni mateso
Na hiyo, karma
Oh karma, karma
Oh yeah yeah (Karma)
Mateso ya mapenzi siwezi sio sawa
Manyanyaso, huchoma daya karma
Oh karma, siwezi
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Karma (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MARIOO
Tanzania
Marioo is a Tanzanian singer/songwriter based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...
YOU MAY ALSO LIKE