Home Search Countries Albums
Read en Translation

Shukrani Lyrics


Nina kushukuru Mungu sababu ya mengi, hata uhai huu sikustahili

Nina kushukuru Mungu tena sababu ya vingi, hata nikiwa nasali unajua namaanisha

Sio kama eti nilitenda wema wakuja linganisha na matendo yako makuu mimi Mungu ningekulipa nini

Ulikonitoa ni siri ya moyo matopeni topeni ukaniketisha na wakuu juu

Nina kushukuru Mungu sababu ya mengi, hata uhai huu sikustahili

Umenipa heshima ukanifuta machozi asante ooh baba

Hata shukurani zangu ni kwako
Shukrani zangu ni kwako
Na shukurani zangu ni kwako
Shukurani zangu ni kwako, asante baba ooh

Aibu umefuta fedheha umefuta
Umenipa amani iliyo ya kweli nakumbuka nalia mimi ni yule ambae

Nilitukanwa na kwa dharau wakasema kwisha habari yake kuna kipindi nilikufa nikawa mifupa inayotembea

Ikiwa kwa siku za usoni walisema tunazika kesho ila kwa huruma uliniponya na kaburi kwa hurumaa na sitosahau wema wako wee baba

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2017


Album : Shukrani (Single)


Copyright : ©2017


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

GOODLUCK GOZBERT

Tanzania

Goodluck Gozbert is a Bongo Gospel Artist/Singer from Tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE