Home Search Countries Albums

Nishazama

TOMMY FLAVOUR

Nishazama Lyrics


Oooh mama mama mama
Ooh beiby yeah

Umenichanjia damu, labda ni asho
Mbona walokuacha nyuma watajilaumu
Eh wanatujaza su, tutengane so
Na moyo unanisukuma kukuacha ngumu

Kama ungelikuwa salio
Ningekujaza on my phone
Upendo nijaze kwa kilo
Nitosheke nawe my love

Kama ungelikuwa salio
Ningekujaza on my phone
Ujihisi wa pekee darling oo
Oooh ooh 

Nishazama mazima kwako beiby (Aah aah)
Nakutwisha upendo na moyo beiby (Aah aah)
Nishazama mazima kwako beiby (Aah aah)
Nakutwisha upendo na moyo beiby (Aah aah)

She is rocking my body na usiku silali
She calls me and sugar, ananivuruga
Akanishika kweli kweli, I just wanna marry marry her 
Kwake siwezi feli, ndo kwanza ninazidi kweli

Kama ungelikuwa salio
Ningekujaza on my phone
Upendo nijaze kwa kilo
Nitosheke nawe my love

Kama ungelikuwa salio
Ningekujaza on my phone
Ujihisi wa pekee darling oo
Oooh ooh 

Nishazama mazima kwako beiby (Aah aah)
Nakutwisha upendo na moyo beiby (Aah aah)
Nishazama mazima kwako beiby (Aah aah)
Nakutwisha upendo na moyo beiby (Aah aah)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Nishazama


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

TOMMY FLAVOUR

Tanzania

Tommy Flavour is a singer, songwriter/ artist from Tanzania. Signed under Kings Music. ...

YOU MAY ALSO LIKE