Nishazama Lyrics

Oooh mama mama mama
Ooh beiby yeah
Umenichanjia damu, labda ni asho
Mbona walokuacha nyuma watajilaumu
Eh wanatujaza su, tutengane so
Na moyo unanisukuma kukuacha ngumu
Kama ungelikuwa salio
Ningekujaza on my phone
Upendo nijaze kwa kilo
Nitosheke nawe my love
Kama ungelikuwa salio
Ningekujaza on my phone
Ujihisi wa pekee darling oo
Oooh ooh
Nishazama mazima kwako beiby (Aah aah)
Nakutwisha upendo na moyo beiby (Aah aah)
Nishazama mazima kwako beiby (Aah aah)
Nakutwisha upendo na moyo beiby (Aah aah)
She is rocking my body na usiku silali
She calls me and sugar, ananivuruga
Akanishika kweli kweli, I just wanna marry marry her
Kwake siwezi feli, ndo kwanza ninazidi kweli
Kama ungelikuwa salio
Ningekujaza on my phone
Upendo nijaze kwa kilo
Nitosheke nawe my love
Kama ungelikuwa salio
Ningekujaza on my phone
Ujihisi wa pekee darling oo
Oooh ooh
Nishazama mazima kwako beiby (Aah aah)
Nakutwisha upendo na moyo beiby (Aah aah)
Nishazama mazima kwako beiby (Aah aah)
Nakutwisha upendo na moyo beiby (Aah aah)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Nishazama
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
TOMMY FLAVOUR
Tanzania
Tommy Flavour is a singer, songwriter/ artist from Tanzania. Signed under Kings Music. ...
YOU MAY ALSO LIKE