Mnyama Lyrics

Kimambo on the beat
Yeah
Sio leo toka zamani
Mnyama hana mpinzani
Sio leo toka zamani
Mnyama hana mpinzani
Hatushikiki ki ki ki (oh we)
Hatukamatiki ki ki ki (Ooh we, oh we)
Watoto wa Dar, watoto wa msimbazi (Oh we, oh we)
Ita mashabiki ki ki ki (oh we)
Wameanza mtiti ti ti ti (oh we, oh we)
Na msimu huu, kombe msimbazi
Ah we unamjua simba (Mnyama)
Sio uyo wa picha mnyama (Mnyama)
Huyo ni wa insta mnyama (Mnyama)
Uyo utopolo mnyama (Mnyama)
Mnyama (Mnyama)
Mnyama (Mnyama)
Wa vikombe vingi mnyama (Mnyama)
Anaupiga mwingi mnyama (Mnyama)
Unyama ni mwingi unyama (Mnyama)
Nasema unamjua simba (Mnyama)
Wa kimataifa mnyama (Mnyama)
Mnyama nguvu moja mnyama (Mnyama)
Anatupeperusha mnyama (Mnyama)
Mnyama (Mnyama)
Mnyama (Mnyama)
Wa vikombe vingi mnyama (Mnyama)
Wa kimataifa mnyama (Mnyama)
Anaupinga mwingi mnyama (Mnyama)
Hatushikiki ki ki ki (oh we)
Hatukamatiki ki ki ki (oh we, oh we)
Watoto wa Dar, watoto wa msimbazi (Oh we, oh we)
Ita mashabiki ki ki ki (oh we)
Wameanza mtiti ti ti ti (oh we, oh we)
Na msimu huu, kombe msimbazi
Sio leo toka zamani
Mnyama hana mpinzani
Sio leo toka zamani
Mnyama hana mpinzani
Sio leo toka zamani
Mnyama hana mpinzani
This is Simba, sisi ndio mabingwa
Sisi ndio mabingwa, Afrika nzima
This is Simba, sisi ndio mabingwa
Sisi ndio mabingwa, Afrika nzima
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2024
Album : (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
ALIKIBA
Tanzania
Ali Saleh Kiba, better known by his stage name AliKiba, is a Tanzanian recording artist, singer-song ...
YOU MAY ALSO LIKE