Home Search Countries Albums

Timua Lyrics


Mtanimiss miss tayari natema 
Dogo Sillah mi natokea Botema
Japo wengi wanasema mi naringa
Aah ni ujinga

Natoa sumu kali kama kaba koo
Mi ni simba sishindani na mokoko
Kipenzi changu si cha kudownload
Niko fit, niko hit matetemeko

Hili ngoma litawabamba chii
Limewabamba?
Wakiniona wanatetemeka
Wanataka nduki mi ndio bunduki

Tena tinga linapita hilo
Kaa mbali litakugonga hilo
Kaa mbali litakugonga hilo

Natimua, timua
We timua, timua (Aiyayaya...)
Natimua, timua
We timua, timua (Aiyayaya...)

Sishindani nao 
Mlowabeba kwenye show
Wala sifanani nao 
Mi ndo kiboko yao

Kwenye vigingi napita
Mkiweka na mitego nategua
Kwanza mi nishawapita
Hata nje ya TZ nimepasua

Cheza kama Yope (Ka yope)
Na wakora walete (Walete)
Ukuti ukuti (Wa nazi wa nazi)
Wenzetu wenzetu, (Wamegongwa na gari)

Basi cheza kibasikeli (Hivii!)
Sangulo (Hivii!)
Chaza kishaku shaku (Hivii!)
Ngololo 

Hili ngoma litawabamba chii
Limewabamba?
Wakiniona wanatetemeka
Wanataka nduki mi ndio bunduki

Tena tinga linapita hilo
Kaa mbali litakugonga hilo

Natimua, timua
We timua, timua (Aiyayaya...)
Natimua, timua
We timua, timua (Aiyayaya...)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Timua (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DOGO SILLAH

Tanzania

Dogo Sillah is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE