Home Search Countries Albums

Niwewe

DOGO SILLAH

Niwewe Lyrics


Am sorry mama
Kwanza naanza kwa kukupa shikamoo
Za siku nyingi
Si nyumbani tupo salama

Najua, wewe na daddy mna ugomvi
Ila mimi hainihusu
Nachokuomba urudi nyumbani

Japo daddy hakuniambia (We mama)
Ila mimi nimekujua (We mama)
Nayo picha inaongea, mama

Hivi kweli uloniambia (We mama)
Hujawahi hata kulea (We mama)
We mwenyewe unalelewa (We mama)
Hapana 

Mi nakosa la kufanya
Mawazo juu yako 
Nikitazama picha yako ni wewe

Ni wewe, ni wewe, ni wewe mama
Ni wewe, ni wewe, ni wewe mama
Ni wewe, ni wewe, ni wewe mama
Ni wewe, ni wewe, ni wewe mama
Ni wewe!

Yaani nikikutazama
Na kwenye picha ni yule yule
Ina maana unanikana
Elewa mimi mwanao

Kama makosa mwanadamu tumeumbiwa
Rudisha moyo wako nyuma
Urudi kwa baba

Kupika mwenzako nimechoka
Madeko wenzangu wanapata
Hata kama nimekufananisha
Nakuomba wewe uolewe na baba

Mi nakosa ya kufanya (We mama)
Mawazo juu yako  (We mama)
Nikitazama picha yako ni wewe (We mama)

Ni wewe, ni wewe, niwewe mama
Ni wewe, ni wewe, niwewe mama
Ni wewe, ni wewe, niwewe mama
Ni wewe, ni wewe, niwewe mama
Ni wewe!

Japo daddy hakuniambia (We mama)
Ila mimi nimekujua (We mama)
Nayo picha inaongea, mama

Hivi kweli uloniambia (We mama)
Hujawahi hata kulea (We mama)
We mwenyewe unalelewa (We mama)
Hapana 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Niwewe (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DOGO SILLAH

Tanzania

Dogo Sillah is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE