Tila lila Lyrics

Zheeeeeyy
Once again
Olaaah
Mi nshakwambia mimi nshakwambia
Siwezi mambo kukurupukia
Una plan za watoto na ndoa here here
Kama hujalewa nikuongezee beer
Kwenye haya mambo wenzako wanaumia
Vilio au haujasikia
Tumeonana siku moja unaleta hisia
Hayo mambo siyapendi
Je utafahamu vipi ka napenda vanilla
Utafahamu vipi napenda mpira
Na je utafahamu vipi ka napenda kuzira
Ama kulewa tila lila
Je utafahamu vipi ka napenda vanilla
Utafahamu vipi napenda mpira
Na je utafahamu vipi ka napenda kuzira
Ama kulewa tila lila
Jamani tila lila (tila lila)
Tila lila (tila lila)
Tila lila (tila lila)
Au kulewa tila lila
Jamani tila lila (tila lila)
Tila lila (tila lila)
Tila lila (tila lila)
Au kulewa tila lila
Once again
Kwani utao lini bado niponipo kwanza
Unasema bado nipo nipo sana
Umaniona njiwa unanitega kwa mtama
Aanhaaa ooooohh
Kama unanicha niache
Nifanye mambo mengine
Nipe nafasi nipende viumbe wengine
Unaiona potential na unaidai mpaka mwisho
Unaing’ang’ania line le oleo hungoli kesho
Nikisema ntakuoa kwa sasa nakudanganya
Tunza moyo wako atatokeo tu kijana
Unaniita tu mpenzi na mapenzi yenyewe hakuna
Jichunge we mtoto zitafika tu hizo zama
Vilio ni vingi na huja sababu ya haraka
Pupa zinaponza watu sio kuku sio paka
Kama nitafika mtaniona mapema
Sina kona kona nikitaka ntasema
Una wahi wapi acha kuikimbiza shari (simidat)
Na uambiwe mara ngapi hii habari
Kabla sijaondoka nikutakie kila la kheri
Sichezi ngumu kuipata nisipatikane kweli
Je utafahamu vipi ka napenda vanilla
Utafahamu vipi napenda mpira
Na je utafahamu vipi ka napenda kuzira
Ama kulewa tila lila
Je utafahamu vipi ka napenda vanilla
Utafahamu vipi napenda mpira
Na je utafahamu vipi ka napenda kuzira
Ama kulewa tila lila
Jamani tila lila (tila lila)
Tila lila (tila lila)
Tila lila (tila lila)
Au kulewa tila lila
Jamani tila lila (tila lila)
Tila lila (tila lila)
Tila lila (tila lila)
Au kulewa tila lila
Once again
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2025
Album : (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
JAY MELODY
Tanzania
Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...
YOU MAY ALSO LIKE