Home Search Countries Albums

Mziki

DOGO JANJA Feat. MAUA SAMA

Mziki Lyrics


Mama kaniambia nikupende wewe we we
Na nisipokupenda mi nilaaniwe we we
Oh mama kaniambia nikuchunge wewe we
Nami nikikuchunga unichunge na wewe we

Na nikiwa safari nakuskiza wewe
Nikiwa na mawazo stress kila wewe

Ona wanakupenda watoto 
Tena wanakupenda vijana
Ona wanakupenda kina baba ba
Tena wanakupenda kina dada da

Ukitaka lala niko hapa 
Nitakubembeleza, mziki wee 
Ukiwa na shida niko hapa
Nitakuliwaza wee, mziki wee

Ukitaka lala niko hapa 
Nitakubembeleza, mziki wee 
Ukiwa na shida niko hapa
Nitakuliwaza wee, mziki wee

Hata nikiboeka unanipaga vybe na mizuka
Nachotaka umenipa umeniweka juu umenikweza
Nilitaka kwenda Mungu baba yo pote ukanipa
Umenitoa mbali, ona sasa hivi leo naheshimika

Unipoze, uniliwaze 
Mziki wee oh baby wee
Nisipotee popote mi nawe
Kwa ladha tamu unazonipa

Nawaza dunia ingekuwaje bila wewe
Na matafaiya yasingeungana 
Nahisi bila wewe

Ona wanakupenda watoto 
Tena wanakupenda vijana
Ona wanakupenda kina baba ba
Tena wanakupenda kina dada da

Ukitaka lala niko hapa 
Nitakubembeleza, mziki wee 
Ukiwa na shida niko hapa
Nitakuliwaza wee, mziki wee

Ukitaka lala niko hapa 
Nitakubembeleza, mziki wee 
Ukiwa na shida niko hapa
Nitakuliwaza wee, mziki wee

Ooh oh mziki wee...

Popote ulipo we jua nakupenda
Ukiniacha mwenzako sina pa kwenda
Popote ulipo we jua nakupenda
Ukiniacha mwenzako sina pa kwenda

Popote ulipo we jua nakupenda
Ukiniacha mwenzako sina pa kwenda
Popote ulipo we jua nakupenda
Ukiniacha mwenzako sina pa kwenda

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Asante Mama (Album)


Copyright : (c) 2021 MMB (Manzese Music Baby)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DOGO JANJA

Tanzania

Dogo Janja is a rapper from Dar es Salaam, Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE