Nitatulia Lyrics

Bwana wangu, jabari langu
Uzima wangu, amani yangu
Jibu langu
Nitatulia, nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia
Nitanyamaza, nitatulia
Ahadi zako Mungu zinatimia
Eeh Baba, eeeh Yahweh
Umesema nitulie, niuone mkono wako
Maana ahadi zako zinatimia
Mavumbini wainua, na wakuu waketisha
Ahadi zako Mungu zinatimia
Nitatulia, nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia
Nitatulia , Nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia
Ooh, Hallelujah, Hallelujah
Wewe hauwahi wala hauchelewi
Unajibu kwa wakati unatimiza
Jibu lako ni ndio na tena Amina
Ila kuna kusubiri, unatimiza
Nitatulia Nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia
Nitatulia , Nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia
Ukisema ndio, hakuna wa kupinga
Neno halirudi bure Unatimiza
Mtetezi wangu, pigana vita vyangu
Na ijulikane upo, Mungu pamoja Nami
Mtetezi wangu pigana vita vyangu
Na ijulikane upo Mungu pamoja Nami
Nitatulia, nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia
Nitatulia, nitanyamaza
Ahadi zako Mungu zinatimia
Unatimiza.....
(Still Alive)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Mwamba (Album)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
JESSICA HONORE
Tanzania
Jessica Honore Kaziri is a gospel singer /vocalist from Tanzania. She comes from a musical ...
YOU MAY ALSO LIKE