Hatutaachana Lyrics

Mapenzi tight ka kifuniko ya gas
My future bright si ni zaidi ya stars
Wanaosema tutaachana, sidanganyi watangoja sana
Yetu si ya Konde Boy na Kajala
Mapenzi za kujienjoy ya kifala
Ama kama Lilian na Governor
Vita za Chris Brown na Rihanna
Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa haiwezi nunua
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Wenye roho chafu ni time wazioshe
Hatuwachani kama Jay na Beyonce
Hii ni key na deeper than the ocean
Hakuna kupima twapeana yote yote
Hii si sinema ni pingu za maisha
Sisi together ni mbingu ilipitisha
Wanawaza kutuput asanda
Watawaza akili zitaganda
Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa haiwezi nunua
Mtaachana tu, achana tu
Mtaachana tu, achana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Tunakazana tu, kazana tu
Ni Bahati na Marua, Tamu kama halua
Kitu Mungu amepanga nani atapangua
Kwote tunasumbua, wote wanatujua
Tumepata kitu hata pesa huwezi nunua
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Hatutaachana (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
DIANA BAHATI
Kenya
Diana Bahati is an artist from Kenya. She debuted her new song "Hatutaachana" released on ...
YOU MAY ALSO LIKE