One Day Lyrics

Kabla mama hajazima
Aliniambia kuna one day
Diana B on this
Teddy B
Wengi walianza mbele yangu
Saa hii hakuna mtu mbele yangu
Kwa uwanja nasimama peke yangu
Na pande ya wanaume noana tu, pete yangu
Nashukuru mungu kwa ma blessings
Na mi siishigi na ma settings
Hata kuzaa tu maingia trending
Najua nawaudhi sana wale wanipendi
Nafunga deals kama ramadham
Navuruga industry ki Afghanistan
Bag gal, dal done
Kichwa mbaya nickname yangu Taliban
Kabla mama hajazima
Alinimbia kuna one day
Nikijikaza nikijituma
Nitaenjoy some day
Kabla mama hajazima
Alinimbia kuna one day
Nikijikaza nikijituma
Nitaenjoy some day
James bond niite 007
Nabring destruction kama 911
Wanasema nimeoa boy wa 97
Na huyo katumbo ati nani baba heaven
Kama ni mistari siwezi miscarry
Na deliver kama mkunga hospitali
Niki miss party is a big worry
Freezz, ka msafari ame miss gari
Nafunga deals kama ramadham
Navuruga industry ki Afghanistan
Bag gal, dal done
Kichwa mbaya nickname yangu Taliban
Kabla mama hajazima
Alinimbia kuna one day
Nikijikaza nikijituma
Nitaenjoy some day
Kabla mama hajazima
Alinimbia kuna one day
Nikijikaza nikijituma
Nitaenjoy some day
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : One Day (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
DIANA BAHATI
Kenya
Diana Bahati is an artist from Kenya. She debuted her new song "Hatutaachana" released on ...
YOU MAY ALSO LIKE