Home Search Countries Albums

Nalewa

JAY MADINI

Nalewa Lyrics


Mi kwako paka we panya ee
Kiuno mixer unavyonichanganya ee
Kitandani longo longo unapotupa kaanga
Zege ni kokoto, ushanifanya kanga

Shepu mwana mitindo
Na nyuma kamebeba Migingo
Kanavyokata kanungo

Nichanganye kwenye sambuka(Ayee)
Nipe tamu sambusa(Ayee)
Nikuchezee everyday ghapuka(Ayee)

Nichanganye kwenye sambuka(Ayee)
Nipe tamu sambusa(Ayee)
Nikuchezee everyday ghapuka(Ayee)

Jipe zangalewa, ngalewa, ngalewa
Kwako nalewa, nalewa, nalewa
Jipe zangalewa, ngalewa, ngalewa
Kwako nalewa, nalewa, nalewa

Nipe sangalewa

Mr lover lover 
Yet I mean to you
Oooh baby come over 
Woun't you be my boo

Maana uzuri wako tabia yako
Umbile lako mienendo yako
Unafanya nivavange natoka jasho
Ili milele niitwe wako

Nichanganye kwenye sambuka(Ayee)
Nipe tamu sambusa(Ayee)
Nikuchezee everyday ghapuka(Ayee)

Nichanganye kwenye sambuka(Ayee)
Nipe tamu sambusa(Ayee)
Nikuchezee everyday ghapuka(Ayee)

Jipe zangalewa, ngalewa, ngalewa
Kwako nalewa, nalewa, nalewa
Jipe zangalewa, ngalewa, ngalewa
Kwako nalewa, nalewa, nalewa

Nipe sangalewa

Ayee, ayee, ayee

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nalewa (Single)


Copyright : (c) 2020 We Global Entertaiment.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JAY MADINI

Kenya

Jay Madini is an artist from Kenya signed under We Global Entertaiment. ...

YOU MAY ALSO LIKE