Home Search Countries Albums

Mchanganyiko

D VOICE Feat. BADDEST 47

Mchanganyiko Lyrics


Weeh serejo mi usinioni kolo
Kuhonga gari napewa mchanganyo 
Wanangu msinione kwaru kuhonga
Nyumba napewa mchanganyiko

Weeh serejo mi usinioni kolo
kuhonga gari napewa mchanganyo mimi
Wanangu msinione kwaru kuhonga
Nyumba napewa mchanganyiko

Hata kama nikimuhonga gari la kwangu 
Ya nini mpige kelele 
Kwanza me ananipa pekeyangu  
Mchanganyo wake nyuma na mbele

Hata kama nikimuhonga gari la kwangu 
Ya nini mpige kelele 
Kwanza me ananipa pekeyangu  
Mchanganyo wake nyuma na mbele

Ndo maana msinione kolo
Kuhonga gari napewa mchanganyo
(Msinione kolo kuhonga gari napewa mchanganyo)
Wanangu msinione kwaru kuhonga nyumba

Napewa mchanganyiko
(Msinione kolo kuhonga nyumba napewa mchanganyiko)
Msinione kwaru kuhonga gari napewa mchanganyo mimi
(Msinione kolo kuhonga gari napewa mchanganyo)

Wanangu msinione kwaru kuhonga nyumba
Napewa mchanganyiko ooh! Ona aah!
Msinione kolo kuhonga nyumba napewa mchanganyiko 

Mchanganyo, Mchanganyiko
Mchanganyo, Mchanganyiko
Mchanganyo, Mchanganyiko

Weeh! De 
Ah! Mchanganyiko umenichanganya
Sio limbwata (Taah)
Mngejuaga anavyonipaga si mgedata (Taah)
Hapa ntadata Taah!

Pili napata Taah
Tatu niutata nisijefungiwa basata Taah!
Weeh nyuma paja figa mbwi sio mademu zenu wakidimbwi
Akinitaka silingi na akilengesha sirembi

Kwanza na nyumba ngingi
Mtoto amejazia
Na mimi sirembi akinisusia
Ndo maana akipiga katwazungu
wanamtafuta wazungu
Utamu ukizidi ninyonye mpaka aah!

(Msinione kolo kuhonga gari napewa mchanganyo)
Wanangu msinione kwaru kuhonga nyumba
Napewa mchanganyiko
(Msinione kolo kuhonga nyumba napewa mchanganyiko)
Msinione kwaru kuhonga gari napewa mchanganyo mimi
(Msinione kolo kuhonga gari napewa mchanganyo)

Wanangu msinione kwaru kuhonga nyumba
Napewa mchanganyiko ooh! Ona aah!
Msinione kolo kuhonga nyumba napewa mchanganyiko 

Me namchuu me namchungulia
Me namchuu me namchungulia
Basi me namchuu me namchungulia
Me namchuu me namchungulia

Basi me namchungulia,me namchungulia
Basi me namchungulia,me namchungulia
Basi kama kweli chula maji
Piga msamba piga

Wanangu wa Kinondoni sijaona mkipiga
Basi kama kweli chula maji
Piga msamba piga
Wanangu wa Temeke sijaona mkipiga

Ngoja ngoja! Ngoja kwanza
Basi twende shibe shibe (Haina bei)
Shibe tena (Haina bei)
Shibe shibe (Haina bei)
Sijaona (Haina bei)

Shibe shibe (Haina bei)
Shibe tena (Haina bei)
Shibe shibe (Haina bei)
Sijaona (Haina bei)

Utamu wa Yesu umejaa kichwani
Ndo maana me namwaga mambo hadharani (Weeh Serejo)
Utamu wa Yesu umejaa kichwani
Ndo maana me namwaga mambo hadharani (Twende tena)

Basi zunguruka maboxer zunguruka
Weeh zunguruka Dida zunguruka
Weeh basi zunguruka Mizuna zunguruka
Haya aah! ah! (Me napewa mchanganyo)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Mchanganyiko (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

D VOICE

Tanzania

D Voice also known as D Voice Giinni is a singeli artist from Tanzania.  ...

YOU MAY ALSO LIKE