Home Search Countries Albums

Nampenda

BEKA FLAVOUR

Nampenda Lyrics


Mwenzako hoi taabani, mimi kwako sijiwezi, sijiwezi
Umenilisha kitu gani, nambie basi mpenzi, mpenzi
Mahaba yako si utani, yananilevya kishenzi, kishenzi
Umenikamata yani umenimaliza
Unanitosha mahabuba
Natamani nikuhonce dunia mpenzi
Angali siwezi
Unanijazia mapenzi gunia yananimwagikia onaa
Nambie nikufanyie nini mpenzi
Kuzirudisha fadhila ma baby oyeeh oyeehh

Acha nionnekane dhaifu
Penzi lake nimenyooshea mikono juu
Sio siri nampenda nampenda nampenda
Acha nionekane dhaifu
Penzi lake nimenyooshea mikono juu
Sio siri nampenda nampenda nampenda
Yeye tuuuu

Nikupende kama ni dodo basi mi nimeokota
Hujawahi hata siku kunilocha
Unanita my king
Nakuita my queen
Unanipenda mpaka naogopa
Tumetulia hatuna mbambamba
Hayatugombanishi mambo ya kishamba
Mi nakujua hunaga madanga
Kuruka ruka muchezo ya kamba
Natamani nikuhonge dunia mpenzi
Angali siwezi unanijazia mapenzi gunia
Yananimwagikia onaa
Nambie nikufanyie nini mpenzi
Kuzirudisha fadhila ma baby oyeeh oyeehh

Acha nionnekane dhaifu
Penzi lake nimenyooshea mikono juu
Sio siri nampenda nampenda nampenda
Acha nionekane dhaifu
Penzi lake nimenyooshea mikono juu
Sio siri nampenda nampenda nampenda
Yeye tuuuu

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Nampenda (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

BEKA FLAVOUR

Tanzania

BEKA FLAVOUR  real name Bakari Katuti is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE